Serengeti Boy afunguka jinsi Shilole alivyomtongoza na kumtumia kisha kumtosa

huyu bavicha wa msituni bagamoyo....akili za ufipa
 
Huyu jamaa anaumia nini sasa ikiwa shishi baby hakua anampenda toka mwanzo sasa si ndyo afurahi ameachwa atafute ampendae
 
sishangai kwa wanaume wa dar kupenda maujiko ya kuonekana runingani
 
Hilo nalo jinga kabisa linatafuta Kiki...mwanume kukosa kifua ni sawa na kuwa na kansa.
Pamoja na madhaifu ya Shilole huwa anaishi maisha ya uhalisia sana na nina mkubali sana na bila shaka hakumtongoza..
Shishi uvccm au uwt?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…