Serengeti boy yapangwa kundi B

Waziri Nape ulimpa Diamond Bendera ya Taifa kwenda Afcon.

Mh Waziri Nape sasa jiandae kikamilifu kwa hawa vijana tafadhali tuache maneno tuwatie moyo kwa vitendo kama Serikali na TFF ili wakafanye vizuri.

Sio tena tunaanza kusikia malalamiko ktk kambi yao wakati muda upo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…