TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Tunakujua wewe ni raia wa wapi!? Hivyo si shangai post yako ya namna hii!Hakuna kitu hapo na wala hatuna Timu hivyo tusipoteze muda humu na kuanza ' kudanganyana '. Hii Timu huko Gabon haifiki popote mpaka Rais wa TFF Jamal Malinzi atakapoacha ' Unafiki ' wake. Mali watatufunga kisha Angola watafuata kutupa Kipigo na mwishoni kabisa Niger watatuchumbia Kaburi na hatutoki na hata point moja huko Gabon. Wenye kuujua vizuri mpira nadhani watakuwa wamenielewa sana. Timu haina competent Coach na Bakari Shime anafundisha kwa ' kubahatisha bahatisha ' tu ile Kiuwezo ni ' mtupu ' sana.
Hata hivyo nisiwakatisheni ' tamaa ' Watanzania wenzangu endeleeni tu kujipa moyo na matumaini ili siku tu ziende ila tusisahau tu kwamba FIFA Rankings za jana Uganda ni ya 72, Kenya ni ya 78, Rwanda ni ya 108 na Tanzania ni ya 138. Serengeti Boys haina chochote na tusihadaike na ushindi katika mechi zao za Kirafiki dhidi ya Gabon na Cameroon.
====
Na wala hatutakusumbua kukutimua, tutakuacha ili aibu ikuvae sawa sawa!