Serengeti boys future ya Tanzania

Serengeti boys future ya Tanzania

Hakuna kitu hapo na wala hatuna Timu hivyo tusipoteze muda humu na kuanza ' kudanganyana '. Hii Timu huko Gabon haifiki popote mpaka Rais wa TFF Jamal Malinzi atakapoacha ' Unafiki ' wake. Mali watatufunga kisha Angola watafuata kutupa Kipigo na mwishoni kabisa Niger watatuchumbia Kaburi na hatutoki na hata point moja huko Gabon. Wenye kuujua vizuri mpira nadhani watakuwa wamenielewa sana. Timu haina competent Coach na Bakari Shime anafundisha kwa ' kubahatisha bahatisha ' tu ile Kiuwezo ni ' mtupu ' sana.

Hata hivyo nisiwakatisheni ' tamaa ' Watanzania wenzangu endeleeni tu kujipa moyo na matumaini ili siku tu ziende ila tusisahau tu kwamba FIFA Rankings za jana Uganda ni ya 72, Kenya ni ya 78, Rwanda ni ya 108 na Tanzania ni ya 138. Serengeti Boys haina chochote na tusihadaike na ushindi katika mechi zao za Kirafiki dhidi ya Gabon na Cameroon.
Tunakujua wewe ni raia wa wapi!? Hivyo si shangai post yako ya namna hii!
====
Na wala hatutakusumbua kukutimua, tutakuacha ili aibu ikuvae sawa sawa!
 
Waliocheza nao walikuwa ' hawakazi ' kama Wao ili kuhakikisha hawapati ' majeruhi ' wa ' kizembezembe ' ili waje ' kuumbuka ' pindi michuano ikianza. Ili uamini haya maneno yangu subiri wiki ijayo ' ngarambe ' hiyo ya Gabon ikianza ndipo utajua kuwa kuna Watu tumeanza kuichambua hii mipira zamani sana na tunaijua vile vile. Nawashangaa mno Watanzania jinsi ' mnavyojitumumua ' kwa kuwa na matuamini ya hii Timu Serengeti Boys. Yaani kabisa tuwafunge Mali kisha Angola na Niger? Kwa Timu yetu ipi? Na yenye maandalizi yapi? Ina Kocha wa aina gani? Hivi Bakari Shime ni Kocha kweli wa kuifanyia makubwa Tanzania huko Gabon?

Watanzania bhana!
Kama sio una matatizo ya akili basi kuna complexity flan inakusumbua sana bro take a moment utulie but kupitia post zako nahisi una shida si bure
 
Picha limeshaanza, tayari wamedroo na bingwa mtetezi. Leo wanacheza na Angola.

Mpaka hapo wamekuprove wrong!

Yawezekana kule ' kuwapuuza ' Kwangu ndiko kumesaidia Wao kuweza kufanya vizuri na nilifanya vile ' makusudically ' kabisa ili niwatie ' njaa / hasira ' ya kuleta mafanikio zaidi huku wakijua kuwa ' wananikomoa ' Mimi kumbe kinyume chake ndiyo wanafanya kile ambacho Mimi nilipenda wakifanye ambacho ni kushinda na kweli sasa tunashinda na kuna hata uwezekano tukachukua Kombe hili na hata la Dunia na lile ambalo labda litaandaliwa huko ' Mbinguni ' kwa Maulana.
 
Ataumbuka tu
Tayari tuna point 4 kutoka kwa hao ulio wataja

Hizo points zako nne ( 4 ) kamwe usingezipata kama Mimi nisingetumia ' mbinu ' yangu ' kabambe ' ya Kisaikolojia ya kujifanya kama vile nawasema ili kusudi tu niwatie ' Ndimu / Njaa / Hasira ' kusudi wakienda huko Gabon basi wasi ' mbwele mbwele ' na kweli Vijana wa Serengeti Boys wamefanya kile ambacho nilitaka watufanyie Watanzania.

Gabooooooooooooooooooooooooooooooooon..........mpaka...........................kombe la duniiiiiiiiiiiiiiiiiiiaaaaaaaaaaaaaa!
 
Tunakujua wewe ni raia wa wapi!? Hivyo si shangai post yako ya namna hii!
====
Na wala hatutakusumbua kukutimua, tutakuacha ili aibu ikuvae sawa sawa!

Soma hapo juu post zangu #24 na #25 tafadhali kwani ' nimetiririka ' na ' kuserereka ' vizuri sana tu na Kimantiki zaidi.
 
Kama sio una matatizo ya akili basi kuna complexity flan inakusumbua sana bro take a moment utulie but kupitia post zako nahisi una shida si bure

Nadhani haya matatizo yote uliyoyaainisha hapa ' Mamaako ' alianza kuwa nayo kabla yangu na bila shaka hata katika ' Koo ' zako mbili yanawakabili sana kama siyo mno.
 
Nadhani haya matatizo yote uliyoyaainisha hapa ' Mamaako ' alianza kuwa nayo kabla yangu na bila shaka hata katika ' Koo ' zako mbili yanawakabili sana kama siyo mno.
Yaani ungejua hunisumbui kabisa....nilivyo join Mara ya kwanza JF nlikua nakuheshimu sana nlidhani kuna kitu huko juu kumbe kuna mbegu ya ubuyu
 
Back
Top Bottom