Serengeti Boys, kichwa cha mwendawazimu kilichopo Sober House kwa muda

Serengeti Boys, kichwa cha mwendawazimu kilichopo Sober House kwa muda

Serengeti Boys timu iliobebwa kwa mpondo kufikia mashindano ya U17 kama Yanga bado inawafurahisha wa Tanganyika kiasi cha kujisahau kuwa hao wanaowashangilia ni kichwa cha mwendawazimu, hakitabiriki. Inategemea mwezi kuwa mchanga ay mpevu.

Tarehe 20 Mei mwezi unaanza kuwa mpevu na Serengeti boys wataanza kuhemwaka.Watanganyika mjiandae na tenga la kuhifadhia magoli

Mimi simo. Michezo haimo kwente Muungano/ Mkichapwa magoli sumii wala mkishinda sifurahi
Kula like mkuu
 
Vijana wetu watafika hadi kombe la Dunia. Ushindwe kabisa we mchawi! Sisi tunamshukuru Mungu kwa hatua tuliyopiga wewe unatukejeli? Waambie wakenya wenzio mwaka huu Tanzania si kichwa cha nazi.
 
Washenzi woote,wanafiki woote na wazandiki woote,wapakwa mafuta wooote kama Ben paulo katu hamtoweza irudisha nyuma adhma safi na nia njema kabisa ya vijana Serengeti Boys #Nyoko#
 
Serengeti Boys timu iliobebwa kwa mpondo kufikia mashindano ya U17 kama Yanga bado inawafurahisha wa Tanganyika kiasi cha kujisahau kuwa hao wanaowashangilia ni kichwa cha mwendawazimu, hakitabiriki. Inategemea mwezi kuwa mchanga ay mpevu.

Tarehe 20 Mei mwezi unaanza kuwa mpevu na Serengeti boys wataanza kuhemwaka.Watanganyika mjiandae na tenga la kuhifadhia magoli

Mimi simo. Michezo haimo kwente Muungano/ Mkichapwa magoli sumii wala mkishinda sifurahi
Hawa ndio wale ndugu zetu wa kisiwani wanaojiita waarab au kujinaaibisha na waarab wa oman... Huwa hawajielewi mpaka leo hii
 
Kama huna cha kuandika kwanini usibebe mwanao mkachunge hata kuku kama huna mbuzi? Unaandika upuuzi tu
 
Serengeti Boys timu iliobebwa kwa mpondo kufikia mashindano ya U17 kama Yanga bado inawafurahisha wa Tanganyika kiasi cha kujisahau kuwa hao wanaowashangilia ni kichwa cha mwendawazimu, hakitabiriki. Inategemea mwezi kuwa mchanga ay mpevu.

Tarehe 20 Mei mwezi unaanza kuwa mpevu na Serengeti boys wataanza kuhemwaka.Watanganyika mjiandae na tenga la kuhifadhia magoli

Mimi simo. Michezo haimo kwente Muungano/ Mkichapwa magoli sumii wala mkishinda sifurahi
Sio bure una stress zako za nyumban umekuja hamishia huku mtandaon kwa vijana wa kazi, vijana wanapiga mpira na watashinda hata usiposhangilia sawa tu we mmoja huna faida
 
6tag-1465827181-1254546542025644933_1465827181.jpg
 
Back
Top Bottom