Serengeti Boys kuna Mzanzibar hata mmoja?

Serengeti Boys kuna Mzanzibar hata mmoja?

Unashangaa mashindano ya vyuo wanachukua wazanzibar, copa cocal cola wanachukua wazanzibar. Serengeti boys hawapo

10% kwa Kocha Mkuu na Viongozi baadhi Waandamizi wa TFF. Wazanzibari wanajulikana na kuwa Wabishi, Wasiopenda Kuonewa na Maamuzi magumu.
 
Soon mtakuja na Uzi kuuliza kama kuna Muislam/Mkristo....
 
Miaka yote wazanzibar hawatendewi haki, na ndio maana tim zetu zinapitia wakati mgumu.
 
Zanzibar ni nchi lakini inatawaliwa na Tanganyika hivyo kila kitu kinaamuliwa Tanganyika na watanganyika
 
Back
Top Bottom