Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja Pinda aje akujibu hapaHatuna haja na Serengeti boys tunataka uwakilishi wetu wenyewe kama Nchi na si vyenginevyoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashangaa mashindano ya vyuo wanachukua wazanzibar, copa cocal cola wanachukua wazanzibar. Serengeti boys hawapo
Panda treni kutoka Tabora ushukie Stesheni ya dar es Salaam bila kitambulisho uone kama utapita?? Siku hizi hata kukata ticket za bus mikoani lazima uwe na kitambulisho.Mkuu zanzibar ni nchi ndo maana BILA KITAMBULISHO CHA MPIGA KURA AU CHA URAIA HAUPITI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Panda treni kutoka Tabora ushukie Stesheni ya dar es Salaam bila kitambulisho uone kama utapita?? Siku hizi hata kukata ticket za bus mikoani lazima uwe na kitambulisho.
sasa unashangaa nini kuulizwa kitambulisho unapokwenda Zanzibar?? au kutoka zanzibar kwenda Dar??Mabasi? ndo najua leo
Mbona Tanganyika wanatandikwa sana na Zenj.Inawezekana ni kweli ebu wazanzibar walete under 17 yao tucheze nao friend match
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa unashangaa nini kuulizwa kitambulisho unapokwenda Zanzibar?? au kutoka zanzibar kwenda Dar??
Takataka ni wazazi wako ama wanao kama unao.Hizi takataka mliziokota wapi? 0-3