Afadhali hawajatuaibisha kama MikiaSerengeti Boys imetwaa ubingwa wa mashindano ya Cosafa U-17 baada ya kuifunga kwa penalti 6-5 Angola katika fainali iliyomalizika kwa sare 1-1 katika dakika 90
Baada ya miaka mitano 90%watakuwa wamepoteana wengine wamestaafu soka
Safiiiii.Serengeti Boys imetwaa ubingwa wa mashindano ya Cosafa U-17 baada ya kuifunga kwa penalti 6-5 Angola katika fainali iliyomalizika kwa sare 1-1 katika dakika 90
Hongera sana madogo japo mlienda huko kimaskini sanaSerengeti Boys imetwaa ubingwa wa mashindano ya Cosafa U-17 baada ya kuifunga kwa penalti 6-5 Angola katika fainali iliyomalizika kwa sare 1-1 katika dakika 90
Hongera sana madogo japo mlienda huko kimaskini sana