Nina wasiwasi ninyi mnaopinga umri wa vijana hawa mnaishi kwa kukariri. Vijana wadogo huwa wanajulikana hata kwa kuwaangalia tu usoni na aina ya mpira wao.
Halafu hawa wamechukuliwa na kulelewa tangu wakiwa under 15 na pia walipimwa hsptl. Sijui kama mlikuwa mnafuatilia
At least siku mojamoja muwe mnakuwa positive kama kuna kitu kimefanyika vzr au kina mwelekeo wa kufanyika vzr
Halafu hawa wamechukuliwa na kulelewa tangu wakiwa under 15 na pia walipimwa hsptl. Sijui kama mlikuwa mnafuatilia
At least siku mojamoja muwe mnakuwa positive kama kuna kitu kimefanyika vzr au kina mwelekeo wa kufanyika vzr