Honera yao ila kwa India Mhhh.
Acha tusubirie
RITA ilitoa vyeti viwili vya Kuzaliwa kwa Sitti Mtemvu, itakuwa wao? Kama hao Mhimbili ndio wanafanya Oparation ya Kichwa badala ya Goti sishangai sn kwa ww kuabudu maajabu!!!Kwa bahati mbaya wewe sio mfatiliaji mpira..kwa taarifa yako hawa madogo wote walienda muhimbili kuchukuliwa vipimo(kipimo cha MRI )kama sijakosea...tatizo bongo ujuaji mwingi.!!
Kama
RITA ilitoa vyeti viwili vya Kuzaliwa kwa Sitti Mtemvu, itakuwa wao? Kama hao Mhimbili ndio wanafanya Oparation ya Kichwa badala ya Goti sishangai sn kwa ww kuabudu maajabu!!!
Historia haitoshi. Kama wewe una ushahidi kuwa hawa sio U17 toa otherwise kuwa mpole tu.
hao wana miaka kati ya 20 na 25,watazame vizuriNina imani sana na timu hii ya Taifa. Halafu ni vijana wadogo kweli kweli, so uwezekana wa kujifunza ni mkubwa sana
Tatizo je tutawatunza kwa mwendelezo mzuri?
hatareee................hao wana miaka kati ya 20 na 25,watazame vizuri