namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Nimesikia kuna mchezaji mmoja katika hii timu anatafutwa na "man u" kuna ukweli kweli.......Binafsi nashukuru viongozi wa timu ya Serengeti boys pia wachezaji wake kwa utetezi wa nguvu juu ya Taifa letu.
PENDEKEZO
Nashauri serikali kuwekeza katika timu hii kwa nguvu zote na wasiruhusu wasajiliwe ktk vilabu vyetu vya ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] kaiba nini tnaNimesikia kuna mchezaji mmoja katika hii timu anatafutwa na "man u" kuna ukweli kweli.......
Wachafuzi wa lugha walishapitia tayari!Ukitaja serengeti boys mashugamami visemi traila vinapwita