SERENGETI BOYS

Nimesikia kuna mchezaji mmoja katika hii timu anatafutwa na "man u" kuna ukweli kweli.......
 
Mi nashangaa ikishaitwa taifa stars sijui nini huwa kinatokea.sababu tunacheza na mataifa yale yale ila tunawafunga.hawa watunzwee waje kuliwakilisha taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaja serengeti boys mashugamami visemi traila vinapwita
 
Mpira umeisha Tanzania 1-Uganda 3 so Uganda watakutana na Ethiopia kwenye final. Hongera yetu watanzania naipenda Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…