namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Binafsi nashukuru viongozi wa timu ya Serengeti boys pia wachezaji wake kwa utetezi wa nguvu juu ya Taifa letu.
PENDEKEZO
Nashauri serikali kuwekeza katika timu hii kwa nguvu zote na wasiruhusu wasajiliwe ktk vilabu vyetu vya ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
PENDEKEZO
Nashauri serikali kuwekeza katika timu hii kwa nguvu zote na wasiruhusu wasajiliwe ktk vilabu vyetu vya ndani
Sent using Jamii Forums mobile app