mkenya wa kova
Member
- Oct 14, 2013
- 93
- 62
Hata za baridi nazo zinafoka tu mkuu.Unakunywa za moto?
We IAN DIALO wa east africa radio acha mbwembwe basi hizi tarehe za salary mnatutambia sana, utaisha tuuNi kwa mda mrefu kidogo nimekua nikiwa nchini Tanzania natumia bia ya Serengeti Lager, hii ni vile taste yake kidogo inakalibiana na bia ya balozi ya Kenya.
Sasa kwa kipindi hiki nina kama week moja na nusu niko nchini na nikiitisha hii bia waiter akifungua inafoka, na inamwagika kama 25% hivi.
Au ndo maana bia za Tanzania ni cheap ni vile hazina ubora ukilinganisha nakenyKenya?
Serengeti unazouziwa wewe tu ndio zinafoka?Ni kwa mda mrefu kidogo nimekua nikiwa nchini Tanzania natumia bia ya Serengeti Lager, hii ni vile taste yake kidogo inakalibiana na bia ya balozi ya Kenya.
Sasa kwa kipindi hiki nina kama week moja na nusu niko nchini na nikiitisha hii bia waiter akifungua inafoka, na inamwagika kama 25% hivi.
Au ndo maana bia za Tanzania ni cheap ni vile hazina ubora ukilinganisha nakenyKenya?
Ikikufokea we iingizie dole itatuliaaa ama ulimiiiiHata za baridi nazo zinafoka tu mkuu.
Nashangaa mnywaji tena wa EAC hajui huu utaratibu!Ikikufokea we iingizie dole itatuliaaa ama ulimiiii
Ukiacha Tasker ambayo inashabiana na Kilimanjaro lager bia za kenya brand zilizo baki hakuna kitu sijui, Sammit, Pleasner hamina kituNi kwa mda mrefu kidogo nimekua nikiwa nchini Tanzania natumia bia ya Serengeti Lager, hii ni vile taste yake kidogo inakalibiana na bia ya balozi ya Kenya.
Sasa kwa kipindi hiki nina kama week moja na nusu niko nchini na nikiitisha hii bia waiter akifungua inafoka, na inamwagika kama 25% hivi.
Au ndo maana bia za Tanzania ni cheap ni vile hazina ubora ukilinganisha nakenyKenya?