[emoji23][emoji23][emoji23]muhimu mnooooHahah, kuna ile moment unaitizama chupaa, alafu unaisoma soma maandishi. Muhimu sana iyo [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]muhimu mnooooHahah, kuna ile moment unaitizama chupaa, alafu unaisoma soma maandishi. Muhimu sana iyo [emoji23][emoji23]
Ina niuma sana mimi kama mtanzania niliyepiga chanjo ya corona ,kuona nyie ambao hamjapiga mpo hai
pole yako Mr!Ina niuma sana mimi kama mtanzania niliyepiga chanjo ya corona ,kuona nyie ambao hamjapiga mpo hai
Kaka mimi hata hivyo nina hasira na nyie sijui nishaanza kugeukaSimpson wametabiri nyie mlio chomwa hiyo chanjo ya Corona kwa baadae mtageuka kuwa mazombie, kisha baadae muanze kuwamaliza wasio kuwa na chanjo. Hii dunia ina mambo mengi ya siri, Mungu atujaalie mwisho mwema.
Mm sina shida na logo, zimebadilishwa ladha, mfano ile serengeti lite landha ni tofauti. Kama diamond kawadanganya wakajaa, shauri yao. Mm naendelea kunywa zile za zamani zikiisha nahamia castle liteKwa heshima kubwa naomba Serengeti mrudishe logo ya zamani. Hii mpya ni mbaya sana.
Imefanana sana Balimi na hichi kitu sijakipenda. Sijui nani alifanya huu utafiti na kuamua kuja na hii aisee ila ni mbaya.
Acha nyeusi ibaki nyeusi na kijani ibaki kijani
Ni kweli kabisa imekuwa na muonekano mbaya sana. Label iliyopita ilikuwa nzuri sana. It was the best.Kwa heshima kubwa naomba Serengeti mrudishe logo ya zamani. Hii mpya ni mbaya sana.
Imefanana sana Balimi na hichi kitu sijakipenda. Sijui nani alifanya huu utafiti na kuamua kuja na hii aisee ila ni mbaya.
Acha nyeusi ibaki nyeusi na kijani ibaki kijani
Ni kweli kabisa.... Ilikuwa beer yangu pendwa....... Radha ya sasa siielewi kabisa.......Halafu hata radha ya hiyo siku hizi naiona iko tofauti..