Sergio Ramos ashitakiwa mahakamani kwa kumwumiza kwa makusudi Mohammed Salah; kulipa €1bn.

Sergio Ramos ashitakiwa mahakamani kwa kumwumiza kwa makusudi Mohammed Salah; kulipa €1bn.

Synod

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
4,143
Reaction score
4,180
Vuguvugu la fainali ya UEFA limeendelea kushika kasi hasa kuhusu suala la kuumia kwa mchezaji wa Liverpool; Mohammed Sarah ambaye baadhi wanadai aliumizwa kwa makusudi ili kuhakikisha Real Madrid inaibuka kidedea.

Huko nchini Misri, mmoja wa wanasheria nguli nchini humo aitwaye Bassem Wahba amesema atafungua mashtaka mahakamani dhidi ya bwana Ramos kwa kile anachodai kuwa katika mchezo huo, Sergio Ramos alimwumiza kwa makusudi Mohammed Salah na kumsababishia maumivu ya kimwili na kisaikolojia yeye (Salah) na watu wa Misri wote.

Mwanashera huyo amesema pamoja na kupeleka malalamiko rasmi FIFA, Sergio Ramos anastahili kuadhibiwa kwa kitendo hicho. Pia aliongeza kuwa mbali na kudai fidia hiyo ya €1bn, kuna uwezekano kiwango hicho kikaongezeka.

Egyptian lawyer files €1billion lawsuit against Sergio Ramos in Champions League final | Daily Mail Online
 
Vuguvugu la fainali ya UEFA limeendelea kushika kasi hasa kuhusu suala la kuumia kwa mchezaji wa Liverpool; Mohammed Sarah ambaye baadhi wanadai aliumizwa kwa makusudi ili kuhakikisha Real Madrid inaibuka kidedea.

Huko nchini Misri, mmoja wa wanasheria nguli nchini humo aitwaye Bassem Wahba amesema atafungua mashtaka mahakamani dhidi ya bwana Ramos kwa kile anachodai kuwa katika mchezo huo, Sergio Ramos alimwumiza kwa makusudi Mohammed Sarah na kumsababishia maumivu mwili na kisaikolojia yeye (Sarah) na watu wa Misri wote.

Mwanashera huyo amesema pamoja na kupeleka malalamishi rasmi FIFA, Sergio Ramos anastahili kuadhibiwa kwa kitendo hicho. Pia aliongeza kuwa mbali na kudai fidia hiyo ya €1bn, kuna uwezekano kiwango hicho kikaongezeka.

Egyptian lawyer files €1billion lawsuit against Sergio Ramos in Champions League final | Daily Mail Online
Huyo Salah ndo wakwanza kuumia mbona wengi sana wameumizwa na hakuna mashtaka.
 
Huyo Salah ndo wakwanza kuumia mbona wengi sana wameumizwa na hakuna mashtaka.
Hao ndio wamisri!

Mimi nimeshangaa zaidi hiyo fidia inayoombwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Halafu jamaa anasema kawaumiza watu wa misri,! wanachama, viongozi na mashabiki wa Liverpool dunia nzima hawajatajwa
 
Vuguvugu la fainali ya UEFA limeendelea kushika kasi hasa kuhusu suala la kuumia kwa mchezaji wa Liverpool; Mohammed Sarah ambaye baadhi wanadai aliumizwa kwa makusudi ili kuhakikisha Real Madrid inaibuka kidedea.

Huko nchini Misri, mmoja wa wanasheria nguli nchini humo aitwaye Bassem Wahba amesema atafungua mashtaka mahakamani dhidi ya bwana Ramos kwa kile anachodai kuwa katika mchezo huo, Sergio Ramos alimwumiza kwa makusudi Mohammed Sarah na kumsababishia maumivu ya kimwili na kisaikolojia yeye (Sarah) na watu wa Misri wote.

Mwanashera huyo amesema pamoja na kupeleka malalamiko rasmi FIFA, Sergio Ramos anastahili kuadhibiwa kwa kitendo hicho. Pia aliongeza kuwa mbali na kudai fidia hiyo ya €1bn, kuna uwezekano kiwango hicho kikaongezeka.

Egyptian lawyer files €1billion lawsuit against Sergio Ramos in Champions League final | Daily Mail Online
Liver mmepagawa mpaka leo, Showcrose licha ya kumvunja mguu Ramsey bado anapeta sababu ni sehemu ya mchezo, leo hii ya salah ina nini cha ziada bega kutenguka tu?? Na bado.
 
Naongelea mahakama za serikali za makosa ya jinai/ madai ambayohuyu Mmisri kalipeleka hili suala, si mahakama maalum za kusuluhisha masuala ya mpira ambazo hata FIFA zinaeleweka.
Ni hizo za kusuruhisha masuala ya michezo mkuu! Wakienda kwingine Salah anafungiwa kucheza mpira.
 
Liver mmepagawa mpaka leo, Showcrose licha ya kumvunja mguu Ramsey bado anapeta sababu ni sehemu ya mchezo, leo hii ya salah ina nini cha ziada bega kutenguka tu?? Na bado.
Mimi sio Liverpool mkuu, nimeleta hapa habari bila ushabiki wowote.
 
Video yake basi ili tutathimini hiyo adhabu
 
Back
Top Bottom