Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
Pale Tim na Pumbaa aah [emoji23][emoji23][emoji23] nikisikia hayo majina nafurahi kwa kweli kunavipande navutiwa navyosana ukiplus na upuuzi wa hao watu 2 ndio nafurahi zaidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijalazimisha mtu aamini. Ila mimi najua hakuna matata kaitoa kwenye series au film za Lion the king. Pale Tim na Pumbaa wanavyoimba Hakuna matata.
Hilo neno kwa wazungu sio geni.
Kula tano bro.Ni kweli dada yangu yawezekana unajua mengi kunizidi sana lakini kitendo cha kung'ang'ana kuwa huo msemo Ramos kautoa huko kwenye sinema na hutaki kubadili na unalazimisha wengine waamini hivyo lazima hadhara ya jf ikuone "unajimwambafy" yaani watu wenye uelewa zaidi wamejua hii ni tabia yako kutaka kujifanya mjuaji wa kila kitu na yamkini wamekujua zaidi hata kwa uzi mbalimbali,ili kuleta maelewano yapaswa wote tuzungumze kiusawa hata kama unayezungumza naye ni zuzu kiasi gani tafuta namna ya kwenda naye sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa asanteUnafeli sana mzee!
Mother tongue yangu,ambayo ni lugha yangu ya kwanza ni Kichagga walichozungumza ancestors wangu kwa zaidi ya miaka 800.
Nikaja nikajua Kiswahili kwa kusoma kuanzia darasani kwa miaka saba then nikaja kujifunza Kiingereza kuanzia darasa la 8 kwenda mbele.
Mother tongue yangu sio Kiswahili,ni lugha yangu ya pili,na ya tatu ni Kiingereza!
Kiswahili kua Lingua Franca ya pahali sio kweli eti ndio "lugha ya kwanza" ya watu wa eneo husika.
Na hapa nielewe vizuri,"Lugha ya Kwanza=Mother Tongue" huenda hata hujui definition yake,ina maana ni lugha ya kwanza mtoto anayojifunza au kuongea baada ya kuzaliwa tu anayo adopt kutoka kwa wazazi wake au jamii yake ya karibu hapo hapo.
Acha tu Yaani.Pale Tim na Pumbaa aah [emoji23][emoji23][emoji23] nikisikia hayo majina nafurahi kwa kweli kunavipande navutiwa navyosana ukiplus na upuuzi wa hao watu 2 ndio nafurahi zaidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hao wazaramo,wandegereko n.k lugha yao ya makabila ndo hichi kiswahili sanifu tunachozungumza?Lipo,nenda Kimanzichana kama unatoka Mbagala kwenda Utete unawaona!
Ni Waswahili kwa kabila na varieties zake ndio Wazaramo,Wandegereko,Wagunya,etc
Hujui lolotr halafu unaongelea Kiswahili kama lugha na Waswahili kama jamii na kabila!
Wewe unadhani kusoma Kiswahili darasani na kuona Tanzania ime-dopt Kiswahili kama Lingua Franca ndio unadhani Kiswahili ni mali yenu?
Kiswahili kina chanzo na kina kabila lake origional!
Wadandia lugha za watu mnaacha Kisukuma chenu kinakufa!
In 10-years lugha zenu zote zaidi ya 250 zinakufa halafu mtakenua mimeno humu kama majuha!
Silly know-nothings!
Nan kasema geniHilo neno kwa wazungu sio geni.
Mtoa mada,maana anashangaa 'hakuna matata' kuandikwa na mzungu wakati ni maneno ambayo wanayatumia miaka na miaka.Tatizo lako ni utoto tu...Nan kasema geni
Heading yangu imesema nashangaa hakuna matataMtoa mada,maana anashangaa 'hakuna matata' kuandikwa na mzungu wakati ni maneno ambayo wanayatumia miaka na miaka.Tatizo lako ni utoto tu...
Chadema wa Namibia wamegoma
Kiswahili chake kikoje
Kabla ya movie kulikua na katuni ya lion king, mwaka jana ndo wakatengeneza movie yake.The Lion King si imetoka mwaka Jana?
Nadhani huo msemo upo unatumika kitambo sana.
Na simba yupo hivo hivo
View attachment 1327083
Hilo neno Hakuna Matata linamilikiwa na kampuni ya kutengeneza film Marekani, huwezi kulitumia kwenye biashara lina trade mark.. [emoji23][emoji23][emoji23]Yeye atakuwa anajua hiyo ni slogan ya wakenya. Jamaa kwa wizi hawajambo
Congratulations kwa Magufuli na serikali yake kwa kukuza hii lugha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachekesha.MUfasa NI SIMBA BABA, THE KING LION Film wanaongea maneno mengi tu ya kiswahili.Hakuna matata linatumika sana.Ramos kalisikia humo nina uhakika asilimia 200.
African are Shits... Sasa mtu kutumia lugha ya kiswahili ndio unakuja kufungua Uzi ... Sisi kila siku tunaandika na kutamka Kiingereza ila sijawahi kusikia muingereza pale England anashangaa kwa msukuma au mgogo kuzungumza kiswahili ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu kipo wapi ? Inferioty complex inawasumbua. Mzungu akitumia kiswahili mnaona deaaalllllll?