Seria A yasimamishwa hadi April

Seria A yasimamishwa hadi April

The real Daniel

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2017
Posts
2,117
Reaction score
7,899
Wapenzi wa soka la Italia tutakosa kutazama soka mpaka mwezi wa nne baada ya Waziri Mkuu wa Italy kuisimamisha ligi kutokana na ugonjwa wa Corona. Itakumbukwa kuwa italy ni moja kati ya nchi ambazo ugonjwa huu unaenea kwa kasi sana. Hatujui kuhusu mechi za UEFA.

Screenshot_20200310-010904~2.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom