Nilipata kusikia kwa dada mmoja wakati fulani kuna mzungu alikuja basi yeye akawapeleka rafiki zake wakawa wavunja tu amri ya 6 ,yeye anachukua hela zake anasepa ,Mzungu alikuwa na pesa kweli kweli leo akilala Serena ,kesho Double tree ,kumbe jamaa alikuwa muuaji anatafutwa na hawa polisi wa dunia ,huyu anaye wauza wenzake akapigiwa simu na polisi wa dunia na wakaweka mtego wakamkamate mzungu ,sasa lile lizungu sijui ni FSB akapotea kwenye mazingira ya kutatanisha ,alikuwa anahusishwa na mauaji ya wanawake sio chini ya 50 popote aendapo duniani
Kilicho shangaza hawa dada zetu wa kibongo hakuwaua ,sijui alikutana na mtoto wa Kitanga anamuogesha na maji katia iliki na mdalasini ,mwili umechorwa hina atafuna kungu tu macho yamelegea akikuangalia kama akata roho ,K yaoshewa asali ,bafuni wabebwa mgongoni mweeee Tanga raha