Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Ndugulile atachaguliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO ukanda wa Afrika
Makonda ataenda kugombea ubunge jimbo la Kigamboni atashinda
sakata la sukari litamfanya Rais kuvunja baraza la mawaziri
Makonda atapendekezwa kuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na bunge litamthibitisha kuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Majaliwa kuwa mgombea mwenza 2025 huku waziri mkuu akiwa ameshajulikana
Makonda ataenda kugombea ubunge jimbo la Kigamboni atashinda
sakata la sukari litamfanya Rais kuvunja baraza la mawaziri
Makonda atapendekezwa kuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na bunge litamthibitisha kuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Majaliwa kuwa mgombea mwenza 2025 huku waziri mkuu akiwa ameshajulikana