Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😂😂😂👍Kabla ya hii ndoto ya mwendawazimu mtibieni kwanza huyo nyamitako wenu nasikia anableed kama demu aliyeko kwenye siku zake.
Hata Ndugulile akichaguliwa, kipindi kilichobakia kabla ya kuvunjwa Bunge ni less than 12 monthis, hakuna uchaguzi wowote mdogo, hata mbunge yeyote akifa leo, ndio imetoka!.Ndugulile atachaguliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO ukanda wa Afrika
Makonda ataenda kugombea ubunge jimbo la Kigamboni atashinda