Series: Maisha na Muziki

Series: Maisha na Muziki

Mama Samia vunja baraza la mawaziri ndani ya siku 7.
 
huo ni ushauri wa bure usije kusema hatujakuambia. na usiturudishie tena mawaziri mizigo.
 
Haya ndo matano anayodai moja ya mtumishi aliyepo kariakoo..
1. Baraza la Mawaziri livunjwe
2. Mkuu wa mkoa wa DSM akae chonjo.
3. Alipwe mishahara yake na marupurupu yake yote.
4. apate stahiki zake zote alizoahidiwa na bosi wake ikiwemo Nyumba, usafiri.
5. Mimi na wewe tuonane, ndio wewe.
 
Mpaka kufikia jumatano zitakua zimekua siku 7, baada ya hapo simo na nisihusishwe na chochote kinachoendelea.
 
Zedd: happy now
stephen sanchez: until i found you
coldplay: scientist
ben e king: stand by me
kenny rogers: luccile
peter andre: mysterious girl
Stand by me uliimbwa ktk mazishi ya Queen Elizabeth II wa England
 
zimebaki siku 6, mpaka kufikia jumatano sa 2 asubuhi simo.
 
nawakumbusha tu, lolote litakatokea ndani ya siku 7 hizi mimi simo na nisiulizwe.
haf kama kuna yeyote ana shida na mimi anifate ghetto.
 
Back
Top Bottom