Series: Maisha na Muziki

Series: Maisha na Muziki

zimebaki siku 3, sijapewa chochote na sijakabidhiwa lolote.
#mimi simo
 
yamebaki masaa kadhaa, mpaka kufikia kesho saa 2 asubuhi mimi simo.
 
mpaka hivi sasa sijapewa chochote na wala sijakabidhiwa nyaraka zozote. hivyo lolote litakaloyokea mkauwaulize hao mliowakabidhi hivyo vitu.
 
nilitoa siku 7, zimekwisha bila kutimiziwa hata jambo moja, hivyo natangaza kuanzia hivi sasa nimejiweka pembeni na nimejivua dhamana, SIMO.
 
siwezi kufanya kazi katika mazingira kama haya, nimejitahidi kadri nilivyoweza lakini kwa sasa niseme imetosha.
 
yaani kazi nifanye mimi haf kila kitu kipo mikononi mwa watu wengine, haiwezekani. hata huyo punda kuna wakati anapewa maji na chakula.
 
kwa hiyo vitu endeleeni kubaki navyo na sivihitaji tena na msinifuate kunisumbua. bye.
 
Back
Top Bottom