Tayari hii mkuu nilisharuka nayo ilivotokaNimeanza mwaka na hii chuma...ni tamuu thanks Vincenzo Jr
Hii niliicheki nikaishia ep sijui ya 2.Hii series mmewai kuitupia macho , inamfanano wa FROM na LOST kisa chake ni wanafunzi waliokua wanasafiri na ndege wanapata ajali katikati ya msitu mkubwa wakiwa huko maisha wanayopitia ni hatari kuna muda chakula kiliisha mpaka ikabidi wale nyama ya mwanafunzi mwenzao ambaye alikua amekufa
Ndo hiyo ilifika time njaa kali chakula hamnaHii niliicheki nikaishia ep sijui ya 2.
Si ndio wanakulana nyama za watu.
Dah, ahsante kwa kunishtua mkuu naona Dr. Mariposa alitaka kuniuza aisee. πHaifai kwa familia season 1 na 2 wanalombana live kwenye ile coloni house sasa wewe jichanganye weka mbele ya watoto
Hakuna kula tunda kimasihara humo...?Ndo hiyo ilifika time njaa kali chakula hamna
Mkuu vipi Silo naweza kuitazama au kuna yale mambo yetu...? Na Furiosa pia vipi naweza jiachia nayo...?
furiosa inafaa hata hiyo inafaaMkuu vipi Silo naweza kuitazama au kuna yale mambo yetu...? Na Furiosa pia vipi naweza jiachia nayo...?
Hawa watoto wananikosesha sana uhondo kudadeki...!
Yes Furiosa ndio nimetoka kui-watch hapa iko poa mkuu.furiosa inafaa hata hiyo inafaa
Kalii sana hiyoYes Furiosa ndio nimetoka kui-watch hapa iko poa mkuu.
Nipo na The Killer's Game hapa. Noma sana huu mzigo.
The killer's game ni unyama mwingiYes Furiosa ndio nimetoka kui-watch hapa iko poa mkuu.
Nipo na The Killer's Game hapa. Noma sana huu mzigo.
Yes ni moto wa kuotea mbali aisee. Safi...!Kalii sana hiyo
Ile sumu wakagonga na cheersNilifurahi sana pale alipolipa kisasi kule Mexico kwa don eladio wafuasi wake walikufa vibaya sana pale πππ
Kabisa kabisa aisee mzigo mtamu.The killer's game ni unyama mwingi
Wametoa nyingine hizo strike backZitafute mtu wangu kama unapenda ukachero spy Cc Carleen Mr Q
View attachment 3189934View attachment 3189935
Mbona kama zilikua singles ila kama muundo wa pirates of carribeanNi series