Kaka pakua zenye quality kubwa kakaNaona episodes zipo 3View attachment 3221987
Naipataje mkuu maana nimesaka sana siioniSeason ya 3 imeshatoka na kuisha January mwaka huu, sasa hivi tunasubiri Season 4.
Sio kweli imeishia season 2 tuSeason ya 3 imeshatoka na kuisha January mwaka huu, sasa hivi tunasubiri Season 4.
Haipo mkuuNaipataje mkuu maana nimesaka sana siioni
Chanzo nilichopata ni hiyo 720p chanzo cha 1080 sijapata. Zipo series lazima nizichukue kwa HD kama the Jackal. Na series zote za kuanzia 2015 kurudi nyuma. Hizi za sasa hata hiyo 720p inatosha uki cast kwenye screen yenye quality nzuri ya kuanzia inch 43 kwenda juu.Kaka pakua zenye quality kubwa kaka
Mm napenda resolution kubwa ndio huwa naenjoy movie...yan quality ya mwisho kabisa ndio mambo yangu
Naipataje mkuu maana nimesaka sana siioni
Sio kweli imeishia season 2 tu View attachment 3222111
Naomba hii link ya kustream mkuuMimi huwa na stream mkuu...
Pia kuna app ya bure inaitwa VivaTV unaweza download na kucheck Movies/TV Shows...
Android link: https://vivatv.io/download
View attachment 3222417
Naomba hii link ya kustream mkuu
Hii prime target mbona kama inaanza kupushiwa pushiwa kipromosheni zaidi? Ipo vizuri kwa mlio iangalia?Download hiyo app ndugu yangu, bofya hiyo link nimekuwekea kama unatumia simu ya android then utakuwa na uwezo wa kustream...inaakubali pia kwa watu wenye android TV box au android TV
Hiyo app ni kama Netflix tu, ndani ina movies na series chungu nzima, ni wewe na internet tu
View attachment 3222426
Mkuu aise umetisha,kumbe kweli ilishatoka. Nimeanza kuicheki hapa.shukrani.Download hiyo app ndugu yangu, bofya hiyo link nimekuwekea kama unatumia simu ya android then utakuwa na uwezo wa kustream...inaakubali pia kwa watu wenye android TV box au android TV
Hiyo app ni kama Netflix tu, ndani ina movies na series chungu nzima, ni wewe na internet tu
View attachment 3222426
Kumbe π π nilikuwa sijui aisee
Jamaa yuko sahihi aise. NimeionaKumbe π π nilikuwa sijui aisee
Ngoja niidownload hiiMimi huwa na stream mkuu...
Pia kuna app ya bure inaitwa VivaTV unaweza download na kucheck Movies/TV Shows...
Android link: https://vivatv.io/download
View attachment 3222417
Ngoja niidownloadJamaa yuko sahihi aise. Nimeiona
Hadi Mimi nilikuwa siipati nenda onstream ipoImetoka nini wanangu? Tehran season 3? Wekeni link siioni Pirate bayπ
Hii prime target mbona kama inaanza kupushiwa pushiwa kipromosheni zaidi? Ipo vizuri kwa mlio iangalia?