Ina sesons ngapi mpaka sasaKwa ambaye hana cha kuangalia weekend na alipitiwa na series kali anaweza akaanza na BANSHEE kumalizia weekend bongo moja la series utakuja kunishukuru🩸🩸🩸
Ndio maana nikaamua nimpotezee naona ananichanganya hata mimi.Kila anachopewa kinamzingua basi aachane na hizi ishu za movie,,mara hataki kamoja kamoja kamoja😁..mara movie box inamzingua,kuna jamaa hapo juu kamwambia atumie torrent nayo hataki sasa huyo una uhakika ni mtu wa movie kweli mkuu?!!
Banshee hujaiona? ile ya yule mzembe ambaye ana bastola kiunoni halafu wavuta bangi wamemuweka mtu kati. Wanamletea fujo wakiwa na mapikipiki unarmed na yeye hachukui action yeyote hata kupiga risasi juu.Ina sesons ngapi mpaka sasa
😀😃Ni mtu wa muvi ila anadhani kudownload muvi ni kama kuingia play store na kudownload game lenye 36MB
Niliona nikiwa chuo huko si ya yuke jamaa anapiga miti sana? Mr sheriff? Na jee inatofautiana na banshee town au ni moja? Ndo nauliza ina seasons ngapi?Banshee hujaiona? ile ya yule mzembe ambaye ana bastola kiunoni halafu wavuta bangi wamemuweka mtu kati. Wanamletea fujo wakiwa na mapikipiki unarmed na yeye hachukui action yeyote hata kupiga risasi juu.
Banshee sitoisahauKwa ambaye hana cha kuangalia weekend na alipitiwa na series kali anaweza akaanza na BANSHEE kumalizia weekend bongo moja la series utakuja kunishukuru🩸🩸🩸
Ndio hiyo hiyo mi ilinishindaNiliona nijiwa chuo huko si ya yuke jamaa anapiga miti sana? Mr sheriff? Na jee inatofautiana na banshee town au ni moja? Ndo nauliza ina seasons ngapi?
Mie nilimpenda yule Anna na yule bidada alie pigwa dushelele na mjomba wake ni kademu kazuri sana kale hata yule mwanetu sherifu alimgonga sana ni huyu hapaBanshee sitoisahau
Uyu mdada sikumkubali ujeuri wake alafu sasa kwenye Power book 4 yupo pia na kacheza kama kwenye Banshee, anatamaa kinomaMie nilimpenda yule Anna na yule bidada alie pigwa dushelele na mjomba wake ni kademu kazuri sana kale hata yule mwanetu sherifu alimgonga sana ni huyu hapa
Ukiona Hilo tabasamu hapo ujue unapewa hadi asubuhi 😎😎
View attachment 3229168View attachment 3229169
😀😃😃😃 Huyu anapenda sana kugawa utamuUyu mdada sikumkubali ujeuri wake alafu sasa kwenye Power book 4 yupo pia na kacheza kama kwenye Banshee, anatamaa kinoma
Changamoto lugha. Nami siwezi pambana na SUBSWakuu hii vipi ni kali?
Hamna shida mrembo tupo pamojaNiliiona nikaipuuzia ila baada ya wewe kusema ndiyo nikaipakua na kuitazama, thank you for the recommendation mkorea.!!
Lugha kikwazo
Huyu alikua na pepo la ngonoMie nilimpenda yule Anna na yule bidada alie pigwa dushelele na mjomba wake ni kademu kazuri sana kale hata yule mwanetu sherifu alimgonga sana ni huyu hapa
Ukiona Hilo tabasamu hapo ujue unapewa hadi asubuhi 😎😎
View attachment 3229168View attachment 3229169
Ya mwaka gani hii?
Ngoja nichukue kwanza hiyo the sum of all fearsMuvi Za C.I.A
- Three Days of the Condor
- The Bourne Ultimatum
- The Good Shepherd
- The 355
- The Bourne Supremacy
- Spy Game
- The Sum of All Fears
- Spies Like Us
- The Recruit
- Company Business
- Möbius
- Tenet
- This Means War
- Jack Ryan: Shadow Recruit
- Argo
Hii kesho naishusha upya maana niliishiaga njiani kwa kuona kwamba sio nzuriBonge la action packed series ni motooo Bonge La Spy-Series 🙌🏽
Cc if cap fits Carleen Mr Q
View attachment 3195840
2020Ya mwaka gani hii?