Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naam movie kalii sana hiiIle ya kwanza mdogo mtu alikuwa anauliza, wahasibu kazi yao ni kucheza na namba tu, sasa inakuwaje mhasibu huyu awe ni kisiki namna hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam movie kalii sana hiiIle ya kwanza mdogo mtu alikuwa anauliza, wahasibu kazi yao ni kucheza na namba tu, sasa inakuwaje mhasibu huyu awe ni kisiki namna hii.
Hiii Chernobyl kwangu nimeona kitu kizuri sanaUkraine war?.
Two and a half men ni nzuri piaTafuta the big bang theory mkuu
Ni series kalii sana mkuu na Kuna battle of Bastogne humo ndani utaipenda sana EP ya kwanza ni wanakula mazoezi kazi Ina anza EP ya pili hakuna kupoa kaka humoNataka nianze kujifudunga BAND OF BROTHERS, ole wako nikute madudu Vincenzo Jr lawama zote utazibeba kwa kukataa kunishauri series kali ya kuangalia.
Ushauri wako umenipiga kofi la mgongo. Ndio naianza hapa ep 01.Ni series kalii sana mkuu na Kuna battle of Bastogne humo ndani utaipenda sana EP ya kwanza ni wanakula mazoezi kazi Ina anza EP ya pili hakuna kupoa kaka humo
Ni nzuri sana hiyo series mkuuUshauri wako umenipiga kofi la mgongo. Ndio naianza hapa ep 01.
Ni documentary series nzuri. Ila sio katika zile series zinazokufanya utake kuimaliza ndani ya siku 1 au 2.Nataka nianze kujifudunga BAND OF BROTHERS, ole wako nikute madudu Vincenzo Jr lawama zote utazibeba kwa kukataa kunishauri series kali ya kuangalia.
Sijawahi kuangalia chief. Nimemaliza Ep02 naona ipo vizuri.Ni documentary series nzuri. Ila sio katika zile series zinazokufanya utake kuimaliza ndani ya siku 1 au 2.
Kwangu mimi ilinichukua muda kidogo kuimaliza. Ila ni worth watching series kama hukuwahi kuangalia.
Imalize mkuu, hutojutia.Sijawahi kuangalia chief. Nimemaliza Ep02 naona ipo vizuri.
tafuta Bob hearts Abishola pia, nimecheka kila episode..!! Hutojutia..!!Nipeni series Kali sana ya COMEDY....
Ya kupasua ,kusaga na kuvunja mbavu
[emoji846][emoji846]
Kuna movie za wa indonesia hzo zinatisha balaa ila zimekaa kiislamu zaidi kuna sehemu wanasoma mpaka quranVincenzo Jr naomba movie inayotisha, siyo ya mazombie hapana, kuna mtu anataka picha linalotisha mpaka aikimbie television..😂😂
watu wanakatwa vichwa au..??😂😂Kuna movie za wa indonesia hzo zinatisha balaa ila zimekaa kiislamu zaidi kuna sehemu wanasoma mpaka quran
Behind Her Eyes
nimemaliza kuicheki hiyo season ni kali naipa 9.4/10Exactly 💯 brother ni series kalii sana 🔥
Kuna majini yanatisha kuna pemandi jenezah, Sijjin, na khanzab zinatisha balaa tena hyo sijjin wanasema wametumia instruction za ukweli za kufanya black magic nchi nyingi za kiislamu zimeipa banned kuonyeshwa kwenye nchi zaowatu wanakatwa vichwa au..??😂😂