Imepoa aisee nimeshindwa kuendelea zimekaa kwenye storage yangu tuParadise nzuri ila imepoa sana
Mbna watu wanasema ni ya moto sanaImepoa aisee nimeshindwa kuendelea zimekaa kwenye storage yangu tu
Hakuna action za kibabe kabisaImepoa aisee nimeshindwa kuendelea zimekaa kwenye storage yangu tu
Sio kila series kali basi iwe na action. Kuna drama nzuri sana mule ndani.Hakuna action za kibabe kabisa
Mkuu nimeangalia series nyingi sana, zenye actions na zisizo na actions. Najua ninachokiongeaSio kila series kali basi ile na action. Kuna drama nzuri sana mule ndani.
Sometimes series unaweza usiielewe ila ulimwengu wa tamthilia ukaikubali.
Baada ya kumaliza Snowfall nikadownload BMF(black Mafia Family) nimeimaliza leo kwa masikitiko kusubiri mpaka watapotoa muendelezo wake ila ni bonge moja la series.Nmemaliza series ya Snowfall yote leo kesho Mungu akipenda nataka nishushe chuma kingine. Hii series ni kali sana
View attachment 3249484
BMF inaweze isiendelee sababu ya ugomvi uliotekea baina ya Meech na 50 cent ambaye ni producer sijui kama wataweza kuisolve issue hii wakaludi mezaniBaada ya kumaliza Snowfall nikadownload BMF(black Mafia Family) nimeimaliza leo kwa masikitiko kusubiri mpaka watapotoa muendelezo wake ila ni bonge moja la series.
Namove forward na kigongo kingine kipya hakuna kupoa huu mwaka ni bandika banduaπ₯±
View attachment 3264046
Sorry mkuu Siwez pata linkZipo mkuu
Ndo nimetoka Google kuona apa kisa tu Big Meech kaenda na Rick Ross kwenye welcome party wakati huo Rick Ross anabifu na 50cent.BMF inaweze isiendelee sababu ya ugomvi uliotekea baina ya Meech na 50 cent ambaye ni producer sijui kama wataweza kuisolve issue hii wakaludi mezani
Ya movie ganiSorry mkuu Siwez pata link
Mbona mbali hivyo me nlitaka hata kesho waanze kuonyesha πππ
Mbona kama unataka kuniambia nilisake hili zaga haraka sana?
Season 1 haujacheki kaka itafute ipo vizuri sanaMbona kama unataka kuniambia nilisake hili zaga haraka sana?
Hadi Mimi kaka πMbona mbali hivyo me nlitaka hata kesho waanze kuonyesha πππ
Sijaicheki. Hii ni aina kama zile from au ni kama train to busan?Season 1 haujacheki kaka itafute ipo vizuri sana
Ipo kama train to Busan kaka hakuna kupoaSijaicheki. Hii ni aina kama zile from au ni kama train to busan?
Halafu hii daredevil wamesha iachia?Ipo kama train to Busan kaka hakuna kupoa
Itakuwa ipo onlineHalafu hii daredevil wamesha iachia?
So hiyo movie Inaitwaje napenda sana movie za namba hiyoUnapenda movie za siri iliyofichika hivyo inafichuliwa kidogo kidogo na mwisho unagundua movie ipo sivyo ulivyokuwa unafikiria. Hii ipo kama hiyo