Ni series inaitwa "Behind her eyes"So hiyo movie Inaitwaje napenda sana movie za namba hiyo
Kwenye kuisaka unaandika MEPTB HA?Ichekini hii serious Kali sana ni ya kirussiView attachment 3264416
Inahusiana na jamaa moja ambaye ni criminal ambaye ameshakinukisha kwenye makundi ya kigaidi na vile vile anatafutwa na polisi so mara nyingi kukwepa kukamatwa au kujulikana huwa anaamua kujibadilisha sura kwa kufanya surgery Sasa akaamua kuchukua sura ya mfanyabiashara fulani ambaye Hana Mambo ya kiharifu kabisa, huyo mfanyabiashara anajikuta anaingia kwenye balaa zito kwa sababu ya yule criminal kuchukua sura yake na kufanya matukio ya kiharifu. Yaani hii series inahamshahamsha mwanzo mwisho ni Kali sana
Vincenzo Jr
Mr Q
Ndio na ni ya 2017Kwenye kuisaka unaandika MEPTB HA?
Asante mkuuNi series inaitwa "Behind her eyes"
Ndio alafu malizia 99% Kama ilivyokwenye cover yakeKwenye kuisaka unaandika MEPTB HA?
Naomba link kama unayo nasearch hamna kituNdio alafu malizia 99% Kama ilivyokwenye cover yake
Jaribu kuandika hivi "Myortv na 99%"Naomba link kama unayo nasearch hamna kitu
Kwa kingereza inaitwa 99% deadNaomba link kama unayo nasearch hamna kitu
Mimi mwenyewe naitafuta kila movie site nazojua sioni😁😁😁View attachment 3264451
Wekeni link
Kama unayo wasaidie wenzako kuwapa link Mr QBig up kwa aliyeileta✊🏿
View attachment 3264452
Huyo demu ana movie nyingine inaitwa Total killer nzuri piaBig up kwa aliyeileta✊🏿
View attachment 3264452
Ebu niitafute, shukraniHuyo demu ana movie nyingine inaitwa Total killer nzuri pia
Mimi nilipewa ndio maana inakuwa ngumu kuwapaView attachment 3264451
Wekeni link
Ukibahatika kuipata hiyo series utaenjoy sana huyu jamaa criminal anajiita snake humo ndani katisha vibaya ni zaidi ya Jackal Kwanza lina akili, pili kukinukisha yeye ni dk zero mpaka niliwaonea huruma police kawafanya vibaya sana, ana roho mbaya mno hajui kucheka na kimaMimi mwenyewe naitafuta kila movie site nazojua sioni😁😁😁
Ngoja niitafute hii mkuuUkibahatika kuipata hiyo series utaenjoy sana huyu jamaa criminal anajiita snake humo ndani katisha vibaya ni zaidi ya Jackal Kwanza lina akili, pili kukinukisha yeye ni dk zero mpaka niliwaonea huruma police kawafanya vibaya sana, ana roho mbaya mno hajui kucheka na kima
Mr Q
Vincenzo Jr