Series (Special thread)

Kwa washabiki wa being mary jane, tupo S02e05 its a nice story
 

darling Viol shud i watch it??? ist gud?
 
Last edited by a moderator:
darling Viol shud i watch it??? ist gud?

Mwanzoni mwa season one utaiona ya kawaida ila inapoisha kuanza hapo yaani huwezi acha,sijawahi ona series tam kama hiyo si unaona hata inavyosifiwa,Hui series kali mno ukiaanza hutataka utoke kwenye TV.
Halafu miss u kipenzi
 
Last edited by a moderator:
Mwanzoni mwa season one utaiona ya kawaida ila inapoisha kuanza hapo yaani huwezi acha,sijawahi ona series tam kama hiyo si unaona hata inavyosifiwa,Hui series kali mno ukiaanza hutataka utoke kwenye TV.
Halafu miss u kipenzi

okey nitaitafuta
 
Breaking bad.....inagusa mambo ya kifamilia zaidi...season one inanifurahisha sana pale my wife wake Walter anavyoangaikia hali ya mume wake ya kiafya

na ndio movie nipendazo mie, kifamilia zaidi, now naangalia "if loving you is wrong" nikimaliza taanza hiyo breaking bad
 
Wadau hebu ichekini moja inaitwa STATE OF AFFAIRS...

Nmeangalia pilot na ep mbili hivi iko vizuri...Catherine Heigl amecheza kama CIA covert director..
Nampenda sana huyu Dada tokea kwenye Grey Anatomy... acting yake inanifurahisa coz kama anachekesha flani hivi katika kila anachokifanya na inaonekana hata kwenye real life anapenda kuchekesha...

Pia sura yake imefanana na my Ex ambaye sasa hivi ameshaolewa..
 

Mkuu statement yako ya mwisho imeniacha hoi kweli Kie Kie Kie Kie
 

teh teh teh!! basi utakuwa na sababu za kibinafsi zaidi kumpenda
 
teh teh teh!! basi utakuwa na sababu za kibinafsi zaidi kumpenda

Zamani wakati nakua miaka ile wakina Britney Spears,Pink,Christina agurela na Eve E wapo juu.
Kusema na ukweli nilikuwa nampenda kimapenzi kabisaaa Christina Agurela na Eve E yani nilikuwa nawaota kweli tena ile mitege ya Agurela na cat walk za Eve zilikuwa zinanifanya hata kusoma nashindwa kutwa tv...ile kweli foolish age...ha ha ha
 

hahahaaaa!!! khaaaaah!! foolish age rahaaa
 
poor you!!! hii itaendelea hii!!! let it go, life has to go on

Sure my lady....naheshimu sana ndoa yake na yupo happily married... So nmemuacha aendelea na maisha yake...that was long time ago...
 
Shirika la kazi duniani linasema ,Mzimbabwe mmoja anafanya kazi ya Watanzani wanane na Mkenya mmoja anafanya KAZI ya watu wanne kwa hali hii ya series nimethibitisha ,utapata wapi muda wa kufanya kazi huku unafuatilia series.Watanzania tubadilike jamani tufanye kazi kwa bidii.
 
Fanyeni KAZI acheni hizo ,zinawapotezea muda .

Mental Dysfunction....

Nani aliyekwambia hatufanyi kazi?
ni nani aliyekwambia series zinatupotezea muda?
Na wewe ni nani kutushurutisha?

Wewe ambaye haujapotezewa muda na series umefanya nini ambacho ni muhimu?

Shame on you who don't respect other people.....
 

Uwezo wako Wa kuchambua na kutafakari mambo ni Mdogo sana...

Sasa unaposema wakenya na wazimbabwe wanafanya sijui kazi za watu wanne....
We bado ujaona tatizo ni nini hapo..
Suala ni watz kuwa wavivu au nini?

Usiongee sana mjomba labda utuambie we we ni nani?

Bastard...
 

hey at some point mtu anahitaji kupumzika na kurefresh mind, so inategemeana na starehe ya mtu, wengine sie hii ndio starehe yetu na mbaya zaidi ni kuwa haujui hizo movie twaangalia muda gani so dont be sooo judgemental, when u think u know too much its when you know not.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…