Series (Special thread)

Series (Special thread)


...Cookie is Empire.....pale alipomuambia Nookie....yeaah my name is Cookie,take a bite.....lol....anataka kila alilolikosa akiwa jela alipate sasa....Ila katika vyote napenda macho yake na namna anayojua kuyatumia,akihuzunika,akimringia Lucious,akishangaa,akiwatizama kuwapa moyo wanae. yaani she is excellent kwa kweli,she is and can be anything....,nisitie neno kwa LUcious.....he he he he!
 
Mhhh! Hapo kwenye rangi nimepapenda na ni kweli kabisa...Hopefully she'll continue to mesmerize us (the audience) with her excellent performance.

...Cookie is Empire.....pale alipomuambia Nookie....yeaah my name is Cookie,take a bite.....lol....anataka kila alilolikosa akiwa jela alipate sasa....Ila katika vyote napenda macho yake na namna anayojua kuyatumia,akihuzunika,akimringia Lucious,akishangaa,akiwatizama kuwapa moyo wanae. yaani she is excellent kwa kweli,she is and can be anything....,nisitie neno kwa LUcious.....he he he he!
 
Mhhh! Hapo kwenye rangi nimepapenda na ni kweli kabisa...Hopefully she'll continue to mesmerize us (the audience) with her excellent performance.

Season mpya nimesikia itaanza may ila sijui tarehe lucious nae mmmh hoot the face reaction tells all
 
... I meant if ni season finale then tutakaa tusubiri season 2 au inaanza wiki itakayofuata?? will be so happy...:smile-big: , ndio nikasema I will miss my Cookie and the rest of Empire.

Music is good too
 
Yeah! Next week ni 2 hours jana nilipita sehemu nikakuta watu wanaizungumzia na kuisifia sana, hopefully they'll be able to maintain the good performance. Cookie naona anataka kumpa nookie yule head of security, Luscious akigundua ataua mtu.

Lucious staki nataka,security lazima apewe ye mwenyewe kadata. Kazi atafukuzwa akigundulika
 
  • Thanks
Reactions: BAK
I feel pity for lucious.,yani anaanza kurudisha moyo wake kwa cookie..cookie naye taa za kijani zishawaka kwa security..baba wa watu atakufa kwa mengi
 
Cookie katoka jela jamani na ana stress na bado hajaamini bi mdogo kaondoka kimoja na Lucious anataka kutengeneza alikobomoa....yeye anataka tu kumuadhibu but anajiadhibu mwenyewe..... Hakeem, jinga lile toto...nimeliona kwenye interview anasema Hakeem has a thing for older women and mommy issues....nilicheka sana....asije akamlete baba yake bibi mwingine .....Maria Carey.....lol....just thinking!

I thought ni acting tu kwani in real life yuko ivyo pia
 
BAK,

Huyo na Naomi unaona huyo ndio bora? Labda kwenye uigizaji ila uzuri,bora hata Naomi....huyu mzee kimuonekano zaidi ina shape nzuri na sio mrefu kama Naomi....ha ha ha ahaaaaa.

I think tracy ni mzuri kuliko Naomi bwana,naomi sura hana
 
Si bora afukuzwe kazi tu, Luscious alivyo mtata anaweza kabisa kumuua. Si unajua wanaume wengine walivyo na wivu uliopitiliza kwa warembo wao?

Lucious staki nataka,security lazima apewe ye mwenyewe kadata. Kazi atafukuzwa akigundulika
 
So so good kwa kweli, waga ikiisha nasubiria you-tube na-download nasikiliza kila napokuwa.....wamejipanga sana....napenda sana choice ya wanamuziki wanaowaleta.....perfection!

Huwa natamani wangekua wanaonaonyesha masaa mawili
 
Si bora afukuzwe kazi tu, Luscious alivyo mtata anaweza kabisa kumuua. Si unajua wanaume wengine walivyo na wivu uliopitiliza kwa warembo wao?

But i love them together security and cookie....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ninachompendea yule head of security yuko very romantic na hapo Cookie ndio anaweza kuchanganyikiwa hasa kama hajawahi kuonjeshwa mautamu ya hivyo na Luscious.

But i love them together security and cookie....
 
Back
Top Bottom