Series (Special thread)

I think tracy ni mzuri kuliko Naomi bwana,naomi sura hana

sijui kuweka picha jamani, BAK naomba ile picha ya Naomi kwenye ile article tuwekee na Tracy....mi Naomi napenda sana uso na rangi yake na Tracy naona ana shape nzuri tu na vile sio mrefu sanaa ataendana na Hakeem kidogo.
 
sijui kuweka picha jamani, BAK naomba ile picha ya Naomi kwenye ile article tuwekee na Tracy....mi Naomi napenda sana uso na rangi yake na Tracy naona ana shape nzuri tu na vile sio mrefu sanaa ataendana na Hakeem kidogo.


Kama alivyosema BAK beauty is in the eye of the beholder
 
Last edited by a moderator:
Ninachompendea yule head of security yuko very romantic na hapo Cookie ndio anaweza kuchanganyikiwa hasa kama hajawahi kuonjeshwa mautamu ya hivyo na Luscious.

Uwiiii BAK, mi namuona Lucious ni very romantic na napenda sana anavyomuangaliaga Cookie na kumtania....maybe kuzoea bad boys ni kubaya....ha ha ha haaa
 


Taraji P. Henson with Naomi Campbell in "Empire." Her character, an ex-con and the ex-wife of a music mogul, is not shy. Credit Matt Dinnerstein/Fox


sijui kuweka picha jamani, BAK naomba ile picha ya Naomi kwenye ile article tuwekee na Tracy....mi Naomi napenda sana uso na rangi yake na Tracy naona ana shape nzuri tu na vile sio mrefu sanaa ataendana na Hakeem kidogo.
 
hahahahahaha lol! There you go again 🙂🙂 In love with bad boys halafu hukawii kulalama.

Uwiiii BAK, mi namuona Lucious ni very romantic na napenda sana anavyomuangaliaga Cookie na kumtania....maybe kuzoea bad boys ni kubaya....ha ha ha haaa
 
I feel pity for lucious.,yani anaanza kurudisha moyo wake kwa cookie..cookie naye taa za kijani zishawaka kwa security..baba wa watu atakufa kwa mengi

Kujidai tu, nilipojua anampenda Lucious ni pale baada ya ile speech aliyoambiwa wa dance, wivu wake bi mdogo alipotangaziwa ndoa na hata kumuharibia Lucious kwa bi mdogo....she is just playing hard to handle.....waniletee kidogo dogo kama Rihanna hivi,halafu Lucious ampende fulani uone bi mkubwa atakavyorudi faster....wanawake type ya Cookie usiwahi kuonyesha ku-regret au sijui kuwa dhaifu....ndo majibu kama 'u don't want to die alone' yanapokuja while siku ile aling'ang'ania akamtunze, Lucious akamchagua bi mdogo.
 
Dah! hahahahahaha lol! eti anakuangalia kama analia lol!!!! Ngoja tumuone Head of Security akiwa na Cookie akimpa mautamu ya hali ya juu halafu tuamue kati ya yeye na Luscious who is more romantic between the two, mie nadhani Head of security atabeba taji, tusubiri.

Bad boys wanakuaga ni players lucious ana macho yanang'aa lazma mtu aingie king anakuangalia ka analia
 
hahahahahaha lol! There you go again 🙂🙂 In love with bad boys halafu hukawii kulalama.

ha ha ha ha ha haaaaaa...Insanity eeh...loving the same type of men and expecting different results,basi sawa!!!

Ila hata yule mlinzi sio mtu mzuri, kwanini amtake Cookie na ni mke wa bosi wake?
 
That is a million dollar question, maybe someone will be able to remind him that "don't poop where you eat."

ha ha ha ha ha haaaaaa...Insanity eeh...loving the same type of men and expecting different results,basi sawa!!!

Ila hata yule mlinzi sio mtu mzuri, kwanini amtake Cookie na ni mke wa bosi wake?
 
ha ha ha ha ha haaaaaa...Insanity eeh...loving the same type of men and expecting different results,basi sawa!!!

Ila hata yule mlinzi sio mtu mzuri, kwanini amtake Cookie na ni mke wa bosi wake?

Ni X wife so ana haki zote za kurusha ndoano pale
 

Ts true..cookie z just playing lovehate things..ila kwenye hii episode ya 10,pale cookie anapotoka kuongea na lucious zen anakimbia kwa mlinzi kwenda kuomba faragha imenifanya nianze kuhisi cookie ameanza kufall kweli kwa mlinzi
 

Acha kabisa we huoni cookie akipewa jicho uvumilivu unamshinda anajiachia tu
 
Reactions: BAK

Mungu atuweke....kweli lile toto haliwezi shinda baba Lucious....na mi-sorry sorry yake kama anaomba maji....eti am falling for you...mxxxxuuu,simpendi kabisaaaa.
 
Reactions: BAK
hahahahahahaha lol!!! Haya banaaa Luscious all the way, he is best when it comes to winning the hearts of beautiful women. Ndo sababu hata Cookie alikuwa tayari kusepa kama Terrence asingepewa hiyo role.

Mungu atuweke....kweli lile toto haliwezi shinda baba Lucious....na mi-sorry sorry yake kama anaomba maji....eti am falling for you...mxxxxuuu,simpendi kabisaaaa.
 
Yule mlinzi sidhani kama ana true love..nahisi kuna kitu anatafuta.
 
Ts true..cookie z just playing lovehate things..ila kwenye hii episode ya 10,pale cookie anapotoka kuongea na lucious zen anakimbia kwa mlinzi kwenda kuomba faragha imenifanya nianze kuhisi cookie ameanza kufall kweli kwa mlinzi

Mwisho wa siku Cookie focus yake itarudi tu kwenye Empire, ali-sacrifice kwa ajili yake....kitu pekee kitafanya wadumu ni kama kitoto kina akili zaidi ya kuvaa wire na ku-track Cookie kwa gps.....Cookie anahitaji kuendeleza kampuni, unajua nadhani hakuamini Lucious alichomuambia,out of excitement ya kupata lile alilolitaka sana na ambalo hakulitarajia huyo akapepesuka.....nilichukia mimi na ile ya anajiandaa kwenye meza....!
 
Reactions: BAK
That is a million dollar question, maybe someone will be able to remind him that "don't poop where you eat."

Hakeem will shoot him....lol....katika aibu atapata Cookie ni wanae wakijua after all bidii yake ya kutengeneza uhusiano nao.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…