Guyz kuna series flan ivi inaitwa gotham kwa wale mnaoijua ktk kuamgalia movies na series sijawahi ona mtu aneweza kuigiza a snitch kama jamaa wanamuita penguin jinsi alivo anavotembe dah kile kipaj yan ni shidaa
Leo nimeamua kuicheck "Hostages" yote...
Inabamba sana hii kitu...
Penguin ni mtambo ule..uwa ananichekesha sana..kasaidia kuipendezesha series
Haha yan the guy kama sio snitch in real lyf bahat
Sawa shikamoo!!Hahaha..sijaicheki bado..ngoja niidownload..na hilo jina life..kabla sijareport abuse
Sawa shikamoo!!
18???:shocked::shocked: Gosh I feel so old!!Shika yako ukajengee kwenu kama ni mali..usinizeeshe ww..I turned 18 last month
18???:shocked::shocked: Gosh I feel so old!!
Lol unajua from 25yrs old unatoka wrinkles mi ntakuumbua tu ha ha ha!Esperanza kwanza sidhani ka anataka mtoto wa pili alee!!Hahah!! We si unataka kunikosesha wachumba humu..nishakushtukia..ukiendelea naleta copy ya passport hapa....hawa mbona ep 03 ya kina esperanza hawataki kuiachia
Lol unajua from 25yrs old unatoka wrinkles mi ntakuumbua tu ha ha ha!Esperanza kwanza sidhani ka anataka mtoto wa pili alee!!
Wrinkles ndo mtaa gani?..mi mgeni hapa town...mi kama baby wako Travis..
Ha ha ha nimecheka kwa nguvu...!!!You wish!!!
Guyz kuna series flan ivi inaitwa gotham kwa wale mnaoijua ktk kuamgalia movies na series sijawahi ona mtu aneweza kuigiza a snitch kama jamaa wanamuita penguin jinsi alivo anavotembe dah kile kipaj yan ni shidaa
Jamani alieigiza the marlin ,Merlin jina halisi anaitwaa nanii