Series (Special thread)

Last ship ni nzuri but ilianza kulost plot yake na sijui hiyo S02 itaendeleaje
But thanks kwa taarifa Subiri niicheki

Mkuuu last ship haijawahi kuloose plots and will never lose.
Na miongoni mwa best series ambazo you can't forward even a second. Pakua episode one uone kama hujalilia episode ya pili itoke hata sasa.
Labda useme hujaipenda tu mkuu lakini sio hio sababu.
 

Yaah ni kweli last ship ni shda aseeee
 
Kwa wale wapenzi wa series ya Heroes ya kina Adam, Hiro Nakamura, Peter Petrell inarudi tena soon na jina la Heroes Reborn...

Niliona tangazo lao jana NBC wakati American Odyssey ikiisha...
 
Basi itabidi kwanza nijikumbushe ile ya kwanza aisee, then ndio niendelee

Hahaha poa ila kwa utamu wake hata ukianzia hapahapa unaenda sawa na wengine..
Mfano mm vampire diaries seasons one,two na 3 sijaziona nilianzia season 4 na nikaenda nayo sawa utadhani nimeanza nayo mwanzo.
 
Hahaha poa ila kwa utamu wake hata ukianzia hapahapa unaenda sawa na wengine..
Mfano mm vampire diaries seasons one,two na 3 sijaziona nilianzia season 4 na nikaenda nayo sawa utadhani nimeanza nayo mwanzo.

Mweee na mavampire unaangalia tena!!! Mie hayo makitu yamenishinda kabisaaa, poa ngoja niidownload
 
Vampire hasitishi sio kama mazombi...seems we muoga.

Mie hayo madude yote yamenishinda kwakweli, i hv a frnd ambae anazipenda balaa, ashanishawishi weee hadi nikaanzaga hiyo v.dieries ila hapana ilinishinda jamani, nimezivulia kofia kwakweli.
 
Mie hayo madude yote yamenishinda kwakweli, i hv a frnd ambae anazipenda balaa, ashanishawishi weee hadi nikaanzaga hiyo v.dieries ila hapana ilinishinda jamani, nimezivulia kofia kwakweli.

Pole sana
 
Hahahaaaaa! Usinipe pole kwakweli kwenye hiki inabidi niwape pole nyie mnaoyaangalia, how do u guys sleep at night after watching thoz horrible things???

Na ndoto nyevu tunapata hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…