hakunaga kama 24hiyo ya kwanza mzee ilinifanya nika-sapp chuo mkuu.
hakunaga kama 24
Yeah season two
AM watching it br..........cant wait for S2E3, jamaa ki ukweli wamejitahid sana, tafuta Hostages na Legends mkuu ni utazipenda snaaaWale wapenzi wa tyrant,season two ishatoka na mpaka sasa tushaangalie epsod 3.
AM watching it br..........cant wait for S2E3, jamaa ki ukweli wamejitahid sana, tafuta Hostages na Legends mkuu ni utazipenda snaaa
Innocizy i hv watched the last ship episod 1 n 2, aiseee ni nzuri mno ila nikagundua season 1 sikuiangalia yote maana nineshanfaa tu meli imevamiwa ila ilivamiwa vp ndio sikujua
Wory not ndio nadownload zile episod za mwisho ambazo sikucheki, yaah for sure nimeipenda aisee yaani unakuwa na shauku ya kujua wht next, kwamie ambae movie huwa naangalia kwa burudani tu bila kuchunguza saaaana wht is inside it najionea poa tu, hayo mambo ya kitaalamu nawaachia nyie na chuma cha reli
Shukrani mkuu ngoja nizishushe bt comedy hapana
Kama hujawahi kutizama prison break,game of thrones na breaking bad bora tu uache kuangalia series.
Thanks for noticing it...haujaruka episode hata moja my dia kwenye S01, ni kwamba wamechemka, ukiangalia S01 imeishia episode ya 10 ndio wamefika bandari ya Baltimore lakini utashangaa inapoendelea S02E01 meli inavamiwa, captain ameonana na familia yake na hata yule Dada Dr ameshikiliwa yaani kuna mambo mengi yaliyojichanganya.
Inavyoonekana episode 3 za mwisho zilikatizwa kwenye S01 ikaishia episode ya 10 wakati huku kwenye S02 wameshasema watarusha episode 13 yaani unaona hata wenyewe hawajihamini
Action yake iko vizuri nmeipenda but hizi idea za kupambana na kugombana nimezichoka sana zipo kwenye series nyingi sana na zote ni zile zile kuanzia kwenye Revolution, walking dead na nyingine nyingi tu
Under The Dome is back with two episodes...
Na LOST
Thanks for noticing it...haujaruka episode hata moja my dia kwenye S01, ni kwamba wamechemka, ukiangalia S01 imeishia episode ya 10 ndio wamefika bandari ya Baltimore lakini utashangaa inapoendelea S02E01 meli inavamiwa, captain ameonana na familia yake na hata yule Dada Dr ameshikiliwa yaani kuna mambo mengi yaliyojichanganya.
Inavyoonekana episode 3 za mwisho zilikatizwa kwenye S01 ikaishia episode ya 10 wakati huku kwenye S02 wameshasema watarusha episode 13 yaani unaona hata wenyewe hawajihamini
Action yake iko vizuri nmeipenda but hizi idea za kupambana na kugombana nimezichoka sana zipo kwenye series nyingi sana na zote ni zile zile kuanzia kwenye Revolution, walking dead na nyingine nyingi tu
Na LOST
Mkuu chuma cha reli hebu katazame upya season one uone kama haionyeshi meli inatekwa na kama haionyeshi Dr akiwekwa kizuizini na miss granderson....
Season one inaisha captain anawacall subordinates wake wa Nathan James anawaita do u copy kumbe meli ishavamiwa na wanajeshi wa granderson ambao mwanzoni hawakudhaniwa kuwa maadui....
So lastly captain Tom Chandler anauliza "Nathan James where are you" na hayo ndio maneno ya mwisho ktk season one...
Miongoni mwa series bora kwa continuity last ship ipo kaka...
Rudi uitazame upya.
Pia chuma cha reli captain chandler alionana na familia yake since season one baada ya kugundua granderson hana nia ya kusave majority but her few chosen minority ambao anaamini wana special talents.
Kama ulitazam season one utaona captain aliwakuta baba na watoto wake ktk uwanja wa Olympia ambao wao walidhani watapata dawa kumbe wanauliwa for energy.
Nimegundua mkuu ile kutazama series nyingi unajikuta unazungumzia hiii badala ya ile.
Unajua kaka Innocizy mie sidhani kama ninaweza kuchanganya vitu kiivyo but kutokana na heshima yako let me nirudie episodi ya mwisho
Lakini ili tatizo sio kwangu tu umeona hata atoto ilimchanganya na akaamini kuna episode ameziruka na mie pia nilijua hivo hivo labda kuna episode nimeruka any way labda utujibu suala hili kwanini tatizo lile lile lililonitokea mimi limemtokea na atoto
Tumezoea Mara nyingi series inapoanza Msimu mpya lazima waweke vipande vya previous season hata mie sijawaelewa
Pia inanipa kibari niamini hivyo ninavyoamin coz hii season 2 wanasema wanatoa episode 13 badala ya 10 kama ilivokuwa kwenye season 1