Series (Special thread)

Series (Special thread)

Brother chuma cha reli kwasasa empire ndo inaongelewa sana kuliko hio G.O.T

Ukweli ni kwamba G.O.T ndiyo inayoongoza hata ndio maana mpaka watu wametengeneza fanbase katika mitandao ya kijamii hata merchandise zake kama nguo na vitu vingine zinauza sana online, watu wameiga kuita majina mpaka ya watoto wao kutoka GOT mfano jina kama Arya limetokea sana miongoni mwa majina mapya ya watoto hata lugha ya dhoraki imeibua maneno mapya

Empire haijaizidi GoT but ndio series inayoongoza kuongeza watazamaji katika kila episode mpya, yenyewe imeongoza viewers katika miongoni mwa show zinazorushwa na kituo cha tv cha FOX
FOX ni kituo kikubwa sana ndio maana hata 50 cent alicriticise kwamba wanaipromote sana EMPIRE tofauti na ilivyo ili kuiua na kuizidi show yake ya POWER (2014) inayorushwa kwenye kituo cha STARZ

Pia ukiangalia hata report ya IMDb site the most rated tv show of 2015 ambayo imeandaliwa kuanzia September 2014 to May 2015 ambapo GOT ilikuwa bado haijaisha so haikujumuishwa inaonyesha EMPIRE ni ya 18

Game of throne inaongelewa sana kaka mfano tukio lile la Red Wedding ambayo RObb Stark na Mama yake walilouliwa liliongelewa sana kwenye tweeter mpaka likavunja rekodi ya siku hiyo na kwenye mitandao mingine ya kijamii
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1435354682869.jpg
    1435354682869.jpg
    42.9 KB · Views: 87
  • 1435354701756.jpg
    1435354701756.jpg
    41.4 KB · Views: 90
Last edited by a moderator:
So happy the haves and have not is comming back next week. Cant wait
 
Ukweli ni kwamba G.O.T ndiyo inayoongoza hata ndio maana mpaka watu wametengeneza fanbase katika mitandao ya kijamii hata merchandise zake kama nguo na vitu vingine zinauza sana online, watu wameiga kuita majina mpaka ya watoto wao kutoka GOT mfano jina kama Arya limetokea sana miongoni mwa majina mapya ya watoto hata lugha ya dhoraki imeibua maneno mapya

Empire haijaizidi GoT but ndio series inayoongoza kuongeza watazamaji katika kila episode mpya, yenyewe imeongoza viewers katika miongoni mwa show zinazorushwa na kituo cha tv cha FOX
FOX ni kituo kikubwa sana ndio maana hata 50 cent alicriticise kwamba wanaipromote sana EMPIRE tofauti na ilivyo ili kuiua na kuizidi show yake ya POWER (2014) inayorushwa kwenye kituo cha STARZ

Pia ukiangalia hata report ya IMDb site the most rated tv show of 2015 ambayo imeandaliwa kuanzia September 2014 to May 2015 ambapo GOT ilikuwa bado haijaisha so haikujumuishwa inaonyesha EMPIRE ni ya 18

Game of throne inaongelewa sana kaka mfano tukio lile la Red Wedding ambayo RObb Stark na Mama yake walilouliwa liliongelewa sana kwenye tweeter mpaka likavunja rekodi ya siku hiyo na kwenye mitandao mingine ya kijamii

Nimeelewa....hata taraj P Henson au cookie alisema the same majuzi kwamba wamebreak record ya viewers.
So nikachanganya na kuongelewa....
Most of maongezi mengi ya G.O.T ni critics hasa wakikompea na vitabu...
Nakumbuka hata ile ya kingslayer kukatwa mkono iliongelewa sana...
Pia umenkumbusha imdb hao jamaa nilikua sidownload movie au series kabla sijapata mawili matatu toka kwao...
 
Last edited by a moderator:
Mhhh kwani bado upo naye mpaka leo huyo boyfriend wako(just asking tu my Dia)

Lost inatakiwa uturie sana ndio utaifurahia ingawa sometimes inabore but ni tamu coz matukio yake yanagusa maisha ya kila mtu maana ukiangalia kila tukio linamaana kubwa sana.

Kwa kipindi cha 2002 to 2012 IMDb imeilisti ni highest listed series in those 10 years kwa maana ndio series iliyoongelewa sana miaka hiyo kuliko nyingine yoyote sawasawa na ilivyokuwa Breaking bad kipindi flani na sasa hivi inayoongoza kuongelewa sana ni Game of thrones

Nafikilia siku mmoja nikiwa likizo kijijini kwetu niirudie
chuma cha reli aisee kweli last ship ina muendelezo inapoishia season 1 ndipo inapoendelea season 2, Innocizy was right
 
Last edited by a moderator:
Aisee Kaboom power nimeipenda japo nimeangalia hadi episod ya tano tu, ila ina tabia mbaya hiyo!! Innocizy this is awesome thanks for recomending it

Hahaahha!!!jamaa hawajivungi...ile mkiwa mnaangalia na mwenza hamtaimaliza mapema..mana kila tym mtakuwa mnapause na kufanya sherehe....Nimebakiza ep01 nimalize...
 
Last edited by a moderator:
Hahaahha!!!jamaa hawajivungi...ile mkiwa mnaangalia na mwenza hamtaimaliza mapema..mana kila tym mtakuwa mnapause na kufanya sherehe....Nimebakiza ep01 nimalize...

Ngoja nije tuiangalie wote aisee maana km sielewi hivi, hivi haya mambo yanakuwaga kweli ama maana mie nimebaki mdomo wazimbona wako without kabisaaaaa!! Nilikuwa naangalia na dogo acha nikimbilie remort ikabidi niendelee kuicheki kwa laptop, we Innocizy hata hukutoa tahadhari tusiangalie na watoto.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nije tuiangalie wote aisee maana km sielewi hivi, hivi haya mambo yanakuwaga kweli ama maana mie nimebaki mdomo wazimbona wako without kabisaaaaa!! Nilikuwa naangalia na dogo acha nikimbilie remort ikabidi niendelee kuicheki kwa laptop, we Innocizy hata hukutoa tahadhari tusiangalie na watoto.

Sure..mwenyewe nilivyoona yale mambo nikamkumbuka atoto...na si tuandae series yetu aisee...kama hii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom