Nina the affair,flash and power ipi nzuri ya kuanza nayo wakuu??
Hapo ninaijua the flash tu, ni nzuri na ina mahusiano na arrow, power ndio hata mm nataka kuianza
The flash nilianza ep 01 hata sikuimaliza..nikaamua kuiweka kiporo..kama umesema nzuri ntaicheki
Nina the affair,flash and power ipi nzuri ya kuanza nayo wakuu??
Niliangalia episode 2 tu za last ship but series huwa muda mwingine huwa wanaongeza episode kulingana na segment za story na contuity mfano the 100 season 1 ina episode 13 season 2 zilitoka 16
Unajua kaka Innocizy mie sidhani kama ninaweza kuchanganya vitu kiivyo but kutokana na heshima yako let me nirudie episodi ya mwisho
Lakini ili tatizo sio kwangu tu umeona hata atoto ilimchanganya na akaamini kuna episode ameziruka na mie pia nilijua hivo hivo labda kuna episode nimeruka any way labda utujibu suala hili kwanini tatizo lile lile lililonitokea mimi limemtokea na atoto
Tumezoea Mara nyingi series inapoanza Msimu mpya lazima waweke vipande vya previous season hata mie sijawaelewa
Pia inanipa kibari niamini hivyo ninavyoamin coz hii season 2 wanasema wanatoa episode 13 badala ya 10 kama ilivokuwa kwenye season 1
The flash nilianza ep 01 hata sikuimaliza..nikaamua kuiweka kiporo..kama umesema nzuri ntaicheki
Duuuh chuma cha reli umenikumbusha hii series mwenzio ilinisumbua harari kuielewa, niliikuta mahali nikaweka nikaona siielewi si nikaanzia season 6 khaa sikuirlewa mpaka nilipoirudia na ndio nikaishia kuangalia hiyohiyo season 6 pekee
Yeah imekaa kitoto fulani hivi, ila niliipenda
Anza na power.
Hahaha naona ukalost wewe..
Hii kitu mie bado naikumbuka mpaka leo back in 2007 nilivyokuwa mwaka wa kwanza, Nilijifunza quote's nyingi sana..ambayo mpaka Leo naikumbuka ni hile ya "Everything happen for a Reason" pale Mzee john Locke alipojikuta mguu imepona wakati alikuwa amestroke.
Pia this remind me my College Girl kwakweli we were in love in those college years...nakumbuka tulikuwa tunaangalia pamoja
Ngoja nianze na power..
Nami ngoja niianze, nione maana naona Innocizy na chuma cha reli wameirecomend hapo
Hahahaaaa our story is the same aisee hata mie niliiangalia hiyohiyo 07 nilipokuwa 1st year chuo kwa boyfriend wangu sema mie niliiangalia mwenyewe thats why ckuielewa, aliponisimulia ndio nikarudia tena hiyo ya 6 ila ndio sikuiangalia tena, ilinichosha maana mara mtu kafa mara yuko hai mara sijui wamerudi nyuma miaka mingapi cjui duuuh!! Pamoja na kiherehere changu kwa movie hii ilikuwa komesha yangu
Nami ngoja niianze, nione maana naona Innocizy na chuma cha reli wameirecomend hapo
chuma cha reli bwana!! No he is resting in peace now, cancer took him too early, yeah ilikuwa ikisifiwa sn by the time thats why nikashawishika kuiangalia, ila ni bora uiangalie na mtu mwenyewe its kinda boreringMhhh kwani bado upo naye mpaka leo huyo boyfriend wako(just asking tu my Dia)
Lost inatakiwa uturie sana ndio utaifurahia ingawa sometimes inabore but ni tamu coz matukio yake yanagusa maisha ya kila mtu maana ukiangalia kila tukio linamaana kubwa sana.
Kwa kipindi cha 2002 to 2012 IMDb imeilisti ni highest listed series in those 10 years kwa maana ndio series iliyoongelewa sana miaka hiyo kuliko nyingine yoyote sawasawa na ilivyokuwa Breaking bad kipindi flani na sasa hivi inayoongoza kuongelewa sana ni Game of thrones
Nafikilia siku mmoja nikiwa likizo kijijini kwetu niirudie
Hutojuta
You should see The Black List