Series (Special thread)

Series (Special thread)

Si hii series yako ya kikubwa

Hahaaaa! Eti yangu, akuuu hiyo ya Innocizy, mie ndio kwanzaaa nipo episod ya 7, huu mchepuka hatari, kwakweli ukiwa na unfinished bussiness na gf au bf ksbla hujaoa/kuolewa ni balaa tupu lazima ilete taabu mbeleni km hujitambui. Hizi ndoa zina mambo jamani
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaa! Eti yangu, akuuu hiyo ya Innocizy, mie ndio kwanzaaa nipo episod ya 7, huu mchepuka hatari, kwakweli ukiwa na unfinished bussiness na gf au bf ksbla hujaoa/kuolewa ni balaa tupu lazima ilete taabu mbeleni km hujitambui. Hizi ndoa zina mambo jamani

Hahaha..huo mchepuko nimeupenda gafla..unajua kujiseksisha. Innocizy alisema season 2 hakuna mnyunyo..ila ep01 tayari mtu anaendesha farasi hapa..sijui uko mbele..
 
Last edited by a moderator:
Hahaha..huo mchepuko nimeupenda gafla..unajua kujiseksisha. Innocizy alisema season 2 hakuna mnyunyo..ila ep01 tayari mtu anaendesha farasi hapa..sijui uko mbele..

Mweeeeh!! Hii kweli weka mbaki na watoto kwakweli
 
Last edited by a moderator:
Yeah niliiyonaga ilikuwa nzuri sana mie napendaga sana lafudhi za WaUk

Kwenye hii Luther ni wenyewe tu ndio waliamua isiendelee halafu si unajua Idris Elba ni actor Mkubwa so kumantain ratiba yake kidogo ni ngumu as most great actors wanaitaji pay kubwa

Ila nilionaga kipindi flani walisema watatengeneza Movie yake tu au American version series yake ambayo mpaka leo naona kimya

Unajua kule UK hawana strategic nyingi kama Hollywood kwenye upande wa movies

Hata mm nilijiandaa kweli kupata hio american version...ila doro...
Kama unapenda UK English hebu pia tafuta movie ya mwaka huu inaitwa seventh son utaenjoi balaaa
 
Hahaha..huo mchepuko nimeupenda gafla..unajua kujiseksisha. Innocizy alisema season 2 hakuna mnyunyo..ila ep01 tayari mtu anaendesha farasi hapa..sijui uko mbele..

Hahahha nilisema hakuna sana.
 
Last edited by a moderator:
Watoto wenyewe hawa wa siku hizi yaani kila kitu wanajua, unaweza ukashangaa wewe ndio unaelekezwa

Tena sehemu ndio wanazipenda hao

Yaani ni majanga plus plus, najua tu ataisaka huyu na ataiwatch tu, mie nilipotezea tu maana khaaaah ni so mno kuiwatch nae, hawa watoto Mungu tu atusaidie
 
We Innocizy yaani hivi ndio hakuna sn jamani, nyie ni wataalamu wa haya mambo na chuma cha reli hebu tuambieni haya mambo wanayafanyaga kweli ama ni logistic gani hutumika, maana wako without kabisaaaaaa!!

Hahahaha unajua whatever happens in front of the camera ni acting atoto

Na Mara nyingi katika scene za sex inabidi muact kama mnafanya lakini mkiwa mmevaa nusu uchi inategemea na director wenu anataka mfanye katika mtindo gani baadaye wanatengeneza computer graphics zen inaonekana kama kweli vile mlikuwa mnafanya but ni acting pia wanatumia technology flani hivi inaitwa body double

Lakini kulana denda ile inakuwa ni kweli hata kuna movie moja inaitwa Carmen, Beyonce alipigwa denda live na Mekhi Phifer uku Jay z akiwa behind the camera na macrew coz alikuwa ni mmoja wa waandaaji wa hiyo movie pia Tyra Banks mwaka 95 haliwai kuachwa na boyfriend wake kisa alipigwa denda la kweli kwenye movie ya Higher Learning na mtu mmoja nimemsahau jina lake kidogo, ingawa kwa wenzetu wazungu matiti sio sehemu ya siri sana and they show it to get credit kwamba mmhh unamaziwa mazuri ila kabla ujapewa dili ya hiyo muvi lazima upewe scripts uzione kama zitakufaa na wengi wanachomoa kama hawajapendezwa na character waliyopewa mfano yule actress wa India Aisharwai alipewaga dili ya kucheza muvi ya Troy na Brad Pitt akachomoa coz ilikuwa na scene nyingi za sex na nudity ingawa zingefanyiwa graphic design

Ingawa kuna filamu nyingi ambazo wanafanya kweli hila hii mara nyingi ipo katika nchi za ulaya esp French,UK na Denmark,madirector wa nchi hizi wakiongozwa na Lars Von Trier waliandaa manifesto inaitwa Dogme 95 hapo mwaka 1995 kuwapa uhalali wa kufanya sex ya kweli kwenye movie na kuondoa utumiaji wa computer graphic na body double kwenye utengenezaji wa muvi eti waigizaji wapewe nafasi ya kufanya kila kitu kweli bila kusaidiwa na technology

Soko kubwa la movie lipo Hollywood US hivyo hii manifesto yao aikupata sapoti kubwa kutoka kwa madirector wa Hollywood hivyo hata filamu zao zilikosa reception nzuri...

Filamu kama 9 songs,all about Anna na Romance zilikuwa na real sex scene na movie nyingi sana za kifaransa pia zina tumia real sex ingawa sometimes kwenye hizo sehemu wanawatumia pornostars
 
Last edited by a moderator:
chuma cha reli hasante sana sana dear kwa somo hilo maana nilikuwa namshangao mkubwa kwakweli, mmmh hizi movie hapana kwakweli hata km ni mm nakuacha khaaaaaaah!! Maana unaweza igiza ukanogewa ati!!
 
Last edited by a moderator:
chuma cha reli hasante sana sana dear kwa somo hilo maana nilikuwa namshangao mkubwa kwakweli, mmmh hizi movie hapana kwakweli hata km ni mm nakuacha khaaaaaaah!! Maana unaweza igiza ukanogewa ati!!

Mie katika movie zote za Romantic bado naipenda sana Movie moja inaitwa UNFAITHFUL na moja inaitwa Killing me softly nakumbuka niliziangalia mda mrefu sana lakin bado nazipenda jinsi wanavyofanya sex na storyline zake
 
Last edited by a moderator:
Mie katika movie zote za Romantic bado naipenda sana Movie moja inaitwa UNFAITHFUL na moja inaitwa Killing me softly nakumbuka niliziangalia mda mrefu sana lakin bado nazipenda jinsi wanavyofanya sex na storyline zake

Unfaithfull niliionaga muda enzi hizooo za chuo na bf, ni nzuri kweli, haaahaaaa umependa wanavyofanya nnn!!! Tabia mbaya
 
Unfaithfull niliionaga muda enzi hizooo za chuo na bf, ni nzuri kweli, haaahaaaa umependa wanavyofanya nnn!!! Tabia mbaya

Hahaha tabia mbaya kwenye mapenzi ndiyo nzuri...

Nimependa pale Connie alipomfumania Paul na kidemu chake akaenda kumtoa kwa wivu huku yeye ndio anayecheat ndoa yake, wakati wanaelekea ndani kwenye corridor Paul akamvuta Connie huku kambinua na kumwambia "I know what you want Connie" na mtoto akaresist kidogo huku ngoma ikiwa imeshafika kunako akaanza kulia kwa mahaba.

Nyingine pale cafe Connie alipokutana na rafiki zake Paul ikabidi amfate hukohuko akampeleka Toilet huku mtoto anasema " this is my best place Paul"

Nilijifunza kuwa mtundu na kujaribu kila kitu....

Pia mume wake Connie aliua bila kukusudia na Connie alipomuuliza akamwambia "I suppose to kill you not him"

This is my best romantic movie of all time
 
Back
Top Bottom