Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
Ngoja tuone mapenzi na kazi kipi kina power..angie ana wakati mgumu
Angie kwa anavoonekana hana shida kabisa kumtake down James. James nae hana tatizo kummaliza Angie. So wanategesheana now.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone mapenzi na kazi kipi kina power..angie ana wakati mgumu
Yaani we acha tu, ndio nawatch last ship hapa, power ndio naipakua
Angie kwa anavoonekana hana shida kabisa kumtake down James. James nae hana tatizo kummaliza Angie. So wanategesheana now.
Ukimaliza kupakua power pakua na under the dome kama huwa unafatilia pamoja na falling skies. Zinaendelea...
Power tuombe matatizo ya 50 cent yasije hadi kwa hiii series yetu.
atoto leo hujalala nini umekeshea ???Falling skies sijaicheki kabisa, vp ni nzuri? Under the dome tayari
Mmmh!! Wht do you mean?
Aaah mkubwa wewe atii
Kwahiyo wewe ulikuwa unanifuatilia nimelala saa ngapi na kuamka saa ngapi!!! Au ni nini maana ya kukesha huko unakokuongelea?!!!!!
Yani ninavyokufuatilia ni zaidi ya mama mzazi kwa mtt mchanga ,,,, exactly dats what I mean huko kukesha
Haya kilalakheri
Naam nashkuru Kwa Baraka zako bibie.... Naamini nitapata lililo la kheri kutoka kwako😎
Falling skies sijaicheki kabisa, vp ni nzuri? Under the dome tayari
Ni nzuri pia
chuma cha reli thanx for the wonderfull series, vipi inaendelea hii au ndio mwisho? (jane the virgin)
Drama yake nzuri sana...season 02 October 19 hapo so uvumilie tu.
Ipo hadi season ngapi now?
Now tunatazama season 5
Okey, inahusu nini plzzzzzzzz!