The event ilisitishwa kabisa na under the dome season 2 ina episode 13 imeisha tunasubiri season 3 ni real sio ya kuchakachua
Ni mbili kweli....event ilikatizwa
hv the event inaendelea kweli?
person of interest nayo nzuri, under the dome ni kweli imefika2 au ndio uchakachuzi wa wabongo? mie niliinunua nairobi sema na wao wachakachuzi tu km bongo
The event walicancel muda sana aiwezi kuendelea coz walipata hasara...unajua wanaume wengi tunapakuwa torrent ndio maana series zinazopendwa na wanaume zinakuwa azina watazamaji wengi on TV...za wakinadada zinaongozaga mfano desperate housewives ilishika sana...
Hata mwaka huu game of throne's wanataka kubadilisha mfumo wa mauzo kwa zile TV mpya za kampuni ya Google zilizotoka ili wapate faida zaidi
Under the dome ni nzuri but sikuipenda..
Sasa hivi naangalia The American ina covert operation nyingi sana na utaipenda kama ni mtu wa kiintelegensia.
Game of throne ndio best series of 2013 and 2014 coz ina kila kitu ambacho unahitaji kukijua...siku zote mpole na mstaarabu ndio anaonewa na kukosa haki yake...stark family na Baratheon family ndio noble ila Lanister family wamewazidi ujanja na mbinu ingawa ni mabrave vitani
game of throne mie niliangalia mwanzoni kidogo tu nikajikuta naishia ucngizini, ckuiangalia tenaaaa!!! ni kweli zinazopendwa na wanawake huwa zinauza sana as wanawake pia huwa wanaongoza hata kwa kununua movies na music u know, sasa ni wachache tunaopenda za kijasusi thats y desparate house wives ilishika sn, kwa wanaopenda ya hivyo watafute single ladies na devious maids nayo nzuri sn
John snow na imp wametokea kuwa character niwapendao sana....na watoto wa Nerd stark
yaani na ilivyoishia patamu sasa! duuuh!! basi tena
Wametukata stimu kweli!
Z nation....ni tamu pia...ila kwa wanaopenda tizama zenye mazombie...
yaani kati ya vitu vilivyonishinda ni movies zenye mazombie, cant watch for anything in the world
John snow na imp wametokea kuwa character niwapendao sana....na watoto wa Nerd stark
Game of throne mwazoni imepoa ila kuanzia s02 na s03 ni balaa uwezi kulala mjomba mie naisubir S05 kwa hamu kishenz na kila kila siku natembelea page yao....
Jack Bauer nae karudi vizuri kwenye 24.live another day...
Jamaa anamwambia ure going to enjoy in Moscow...dah I can't wait..
Hii game of throne nahisi hadi nina matatizo... manake kila nikiiangalia, wapi... full mbonji na forwarding kwa sana wakati wengi wanadai ni moja ya series kali kabisa kupata kutokea!!!
Bora mazombie kuna horor movies za ma demons hua sizipend unaeza pata mademons kupitia movie kama hzo coz kuna sign zao huonesha ni hatari
mayb nitajaribu tena, ila styl ya movie za vile mie sio mpz sn, zipo tu nitazifukua nikimaliza the last ship
Mkuu try this hakikisha umedownload subtitles u won't regret!