Series (Special thread)

Series (Special thread)

My favorite kwenye Lost alidumu muda mfupi sana ndani ya Season 2 kama sikosei... huyu si mwingine bali Anna-Lucia... i like the girl, she's tough...omg! nilisikitika sana alipouawa... to be honest, nika-loose interest hata kama nilijihidi kumalizia season.
huyo mwanamke alipokufa sikuamini ni kama waliharibu,ila bado ilinoga kwa ajili ya yule jamaa mwizi hivi
 
huyo mwanamke alipokufa sikuamini ni kama waliharibu,ila bado ilinoga kwa ajili ya yule jamaa mwizi hivi

Michelle imeshakuwa kama tendency kwa madirector wa Hollywood kumuweka anakufa na imeshajulikana audience wanakasilika ndio maana kwenye Residential Evil na Fast and Furious wamemrudisha kwa kufojifoji,sikuamina alivokufa kwenye Avatar...
Ila kwa case ya Lost litaka mwenyewe alikuwa na project nyingine kama ilivokuwa kwa yule Eccko nae alitaka wamtoe.
Michelle ndie mlatino pekee anayekubalika sana Hollywood kutokana na uzuri wake na utuff wake wa kilatino.
 
.........Aisee kuna Series inaitwa Arrow ni noma. Wametoa hadi Season 3 Episode 09 na wanaendele kuandaa Episode 10 yaani naisubiria kwa hamu ili niipakue. Series nyingine tamu inaitwa Teranova ila niliiona Season 1 tu sina uhakika kama wametoa nyingine.

Mkuu Teravona ni ya mwaka jana walisitisha ikiwa season 1
 
Michelle imeshakuwa kama tendency kwa madirector wa Hollywood kumuweka anakufa na imeshajulikana audience wanakasilika ndio maana kwenye Residential Evil na Fast and Furious wamemrudisha kwa kufojifoji,sikuamina alivokufa kwenye Avatar...
Ila kwa case ya Lost litaka mwenyewe alikuwa na project nyingine kama ilivokuwa kwa yule Eccko nae alitaka wamtoe.
Michelle ndie mlatino pekee anayekubalika sana Hollywood kutokana na uzuri wake na utuff wake wa kilatino.

kama strike back ilianza vizuri halafu John Porter akaja kufa,inakera,ila sasa hawa majamaa ina maanisha nini wanapoacha project ya mwanzo na kukimbilia nyingine?au kuangalia maslahi
 
kwangu mimi, ni kama waliharibu kabisa... sema sikuwa na neno baada ya kugundua kwamba hata mwenyewe alishasema angeshiriki only one season, so ilikuwa ni lazima iwepo namna ya kumpoteza but nilisikitika sana!!!

Mara nyingi acting zake ni aidha polisi au mwanamke taff sijui ka umewahi muona with different character
 
sure... karibu mara zote huwa namuona kwenye similar character... kama sio working with a military unit basi vyovyote itakavyokuwa lazima atakuwa kwenye part inayomuonesha ni very tough. mie nilianza kuwa na mahaba nae kutokea kwenye filamu ya Girlfight... nadhani hii ilikuwa ama ndo movie ya kwanza au ya kwanza kumtambulisha. Na kutokana na character aliyocheza kwenye Girlfight, ikawa almost kila movie/series anayocheza, character aliyokuwa anapewe ni ile ile... TOUGH GIRL!

But inasemekana pia ni lesbian
 
wakuu character gani anavutia ukishamwona kwenye series yoyote anakufanya ufuatilie hizo series
 
wakuu character gani anavutia ukishamwona kwenye series yoyote anakufanya ufuatilie hizo series

Nafikiri ukifuatilia character unaweza kutopenda series,mfano Jack Buer wa kwenye 24 ni tofauti na ukimuangalia alivyocheza series zingine,mm huwa napenda kufuata maproducer coz ndo inakua rahisi kujua anaanda series za aina gani but character anachange kutokana na theme ya series,mfano Nikita,Fringe producer ni mmoja hivyo ni rahisi kufuatilia series zake zingine
 
prison break
the walking dead
24
my eternal
mara clara
promise n.k
 
Mara nyingi acting zake ni aidha polisi au mwanamke taff sijui ka umewahi muona with different character

mmmhh kweli nyie wapenzi wa movie mnavyowajua na kuwachambua characters!! wakati mie naweza maliza movie ukiniuliza hata jina halisi la main charecter walaa cjui, ilimradi nimeangalia movie
 
Naamini kuna vitu unavikosa kwani unapoangalia unajifunza si kupoteza muda tu Ku relax

najifunza mnoo! ila sasa kuwakariri watu hivyo na uhusika wao ktk movies tofauti ndio cwezagi, hata majina yao halisi siyajuagi wala kuyatilia maanani, zaidi ni majina wanayotumia kwenye movie
 
kama strike back ilianza vizuri halafu John Porter akaja kufa,inakera,ila sasa hawa majamaa ina maanisha nini wanapoacha project ya mwanzo na kukimbilia nyingine?au kuangalia maslahi

Mara nyingi ni maslahi ila kwa case ya lost ilikuwa ni ngumu kukeep mastaa maana ndio series iliyokuwa na characters wengi kama ilivo Game of Thrones halafu location yake ilikuwa Hawaii na New Zealand so inatakiwa wakapige kambi huko huko hapo ndio inawashinda mastaa na by the time Michelle alikuwa staa Mkubwa..
Mi napenda udirector sana ndio maana napendaga filamu ambazo zinakuwa ngumu kuzitengeneza kama ilivokuwa kwa lost na inavoendelea Game of throne...
J.J Abraham alitumia aidia ya kipekee na nzuri sana katika lost ndio maana alipotengeneza Revolution akaleta theme kama za kwenye lost kuanzia costume mpaka location
 
Back
Top Bottom