Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,549
- 4,133
Wiki iliyopita stamina alitoa wimbo mmoja wa future wife.
Hapa katk verse ya kwanza alikuwa anamwita aje popote alipo ila verse ya 2 alimwambia asubir kwaza mambo sio poa. Ila mwisho kaletewa bi dada na kapata mimba.
Mwendelezo wa 2
STAMINA ft š banana zoro wimbo UKIZALIWA .
wimbo huu unaelezea mahusia ya mtoto kutoka kwa baba na ni kwa pande 2 me na ke.
Baba yupo anahangaika na mwisho wa siku kapata mafanikio.
Anarudi nyumbani anakuta mkewe ana mchizi mwingine ndani.
Tusubiri sehemu ya 3 wiki ijayo JUMANNE
Hapa katk verse ya kwanza alikuwa anamwita aje popote alipo ila verse ya 2 alimwambia asubir kwaza mambo sio poa. Ila mwisho kaletewa bi dada na kapata mimba.
Mwendelezo wa 2
STAMINA ft š banana zoro wimbo UKIZALIWA .
wimbo huu unaelezea mahusia ya mtoto kutoka kwa baba na ni kwa pande 2 me na ke.
Baba yupo anahangaika na mwisho wa siku kapata mafanikio.
Anarudi nyumbani anakuta mkewe ana mchizi mwingine ndani.
Tusubiri sehemu ya 3 wiki ijayo JUMANNE