deebo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 353
- 229
Hamjambo wana JF? Katika harakat za kujifunza mawil matatu nimekuta kua ugonjwa mmoja unaweza kutibiwa na makundi tofauti ya dawa depending on some clinical situations.. Na haya makund hutofautiana ubora na ufanyaji kazi wake na hata bei pia..
Sasa serikali inapo agiza dawa hua inaangalia ubora wa dawa au bei yake tu? Mfano utakuta dawa za mafua zipo nyingi ila ambazo zipo available sana ni zile zenye quality ndogo. Zenye quality kubwa zinakua adim na bei yake inakua juu. Naombeni msaada kujua criteria zinazozingatiwa kununua dawa na serikali
Sasa serikali inapo agiza dawa hua inaangalia ubora wa dawa au bei yake tu? Mfano utakuta dawa za mafua zipo nyingi ila ambazo zipo available sana ni zile zenye quality ndogo. Zenye quality kubwa zinakua adim na bei yake inakua juu. Naombeni msaada kujua criteria zinazozingatiwa kununua dawa na serikali