Serikali inaweza kufanya yafuatayo ili isiumize wananchi
Ikusanye kodi kweny vilevi na sigara.
Serikali itumie rasilimali zake kujiendesha mf.
Madini, gesi, utalii, bandari n.k.
Haiwezekani madin yetu wachimbe wazungu afu sisi tupewe gawio hii inaikosesha serikali pesa ambazo zingefuta umaskini kabisa.
Tuna gesi ambayo inaweza kutumika kwa miaka 27 tukiuzia nchi zote africa bila kuisha kwa nn anapew mwekezaji wa nje kwa nn tusichimbe wenyew kama Urusi anavyouzia mataifa ya Ulaya?
Tuna Tanzanite ambayo haipatikan duniani zaid ya Tz tu lakin muuzaj mkuu ni Kenya, India na Marekani kwa nini afu wazir wa Madini yupo ofisini anapumua kwa nini?,
Tuna bandari ambayo peke yake ingefuta umaskin wa nchi inahudunia nchi zaidi ya 8 lakin ni uhuni tu pale bandarini.
Tuna utalii kila mahali lakin ni janja janja tu serikalini hata sielew tumrogwa na nani,
Ikusanye kodi kweny vilevi na sigara.
Serikali itumie rasilimali zake kujiendesha mf.
Madini, gesi, utalii, bandari n.k.
Haiwezekani madin yetu wachimbe wazungu afu sisi tupewe gawio hii inaikosesha serikali pesa ambazo zingefuta umaskini kabisa.
Tuna gesi ambayo inaweza kutumika kwa miaka 27 tukiuzia nchi zote africa bila kuisha kwa nn anapew mwekezaji wa nje kwa nn tusichimbe wenyew kama Urusi anavyouzia mataifa ya Ulaya?
Tuna Tanzanite ambayo haipatikan duniani zaid ya Tz tu lakin muuzaj mkuu ni Kenya, India na Marekani kwa nini afu wazir wa Madini yupo ofisini anapumua kwa nini?,
Tuna bandari ambayo peke yake ingefuta umaskin wa nchi inahudunia nchi zaidi ya 8 lakin ni uhuni tu pale bandarini.
Tuna utalii kila mahali lakin ni janja janja tu serikalini hata sielew tumrogwa na nani,
Upvote
2