Serikali: Aliyedai mtoto kageuka jiwe alidanganya. Alijifungua mtoto 1 wa kike na alikuwa kaweka ahadi ya mtoto wa kuime

Kila siku tunaimba humu kuwa haluna uchawi wala mchawi. Ila maigizo na stori stori na habari za kutunga tu.

Achaneni na hizi imani za ushirikina, uchawi na waganga wa kienyeji zinarudisha nyuma sana maendeleo yetu.
Wacha kabisa, bado mtoto wewe huijui dunia.
 
Wale mashabiki wa uchawi njooni tena uzi wenu huu!

Kutoka 7:22-25​

Lakini wachawi wa Misri kwa kutumia uchawi wao wakafanya vivyo hivyo. Kwa hiyo moyo wa Farao ukabaki kuwa mgumu, naye
 

Hiyo atakuwa mtanzania halisi. Ujuaji mwingi. Apache vipi kupiga nyungu huyo?
 
Hivi Bi Amina anatuonaje? Kutulia denge sisi na jiwe lake la kuokota.
 
Angalau sikupoteza muda kusoma hiyo thread nilijua tu ni uzushi
 
Wacha kabisa, bado mtoto wewe huijui dunia.
Bora nisikue tu, maana kama kukua ndio huko kwa akili timamu kabisa serious unaamini binadamu mwanamke anaweza akazaa jiwe. Kama serikali kukanusha hizo stori na tungo za huyo mwanamke kuzaa jiwe zilikuwa zishaaminiwa na wajinga na kuzisambaza.

Hakuna cha wacha kabisa ushirikina uchawi na wachawi ni stori, tungo na habari zinazoaminiwa na wajinga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…