Serikali anzisheni agency ya ukaguzi wa magari hizi ajali zimetuzidi nguvu.

Serikali anzisheni agency ya ukaguzi wa magari hizi ajali zimetuzidi nguvu.

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
Lori lingine nimefyeka watu 10 Tanga. Recently nilishauri serikali kuanzisha agency ya ukaguzi wa magari. Moja ya sekta ambazo kama nchi tumekwama. Machine zinazotembea barabarani ni kama majeneza. Yameoza hayafanyiwi service.

Nashauri tena serikali anzisheni agancy serious ya kukagua magari ila wasipewe polisi hiyo iwe agency inayojitegemea hata garage private zikiwa na qualification ziruhusiwe kufanya hiyo kazi la tutaisha.

Kama nchi tumekwama sehemu.

Baada ya tamko la Raisi niliona watu wakipishana sasa hata mwezi bado hawaonekani wale waliokuwa wakijiviringisha chini ya mabasi.

Hatuna consistence kama nchi . Na ijulikane magari mabovu si mabasi tu ni gari zote .
 
Kwa dada wapo busy na uchaguzi wa chadema
 
Kwa kweli, ajali Tanzania kwa sasa zinazoea kuliko Ukimwi, na serikali inaendelea kukaa kimya tu
 
Lori lingine nimefyeka watu 10 Tanga. Recently nilishauri serikali kuanzisha agency ya ukaguzi wa magari. Moja ya sekta ambazo kama nchi tumekwama. Machine zinazotembea barabarani ni kama majeneza. Yameoza hayafanyiwi service.

Nashauri tena serikali anzisheni agancy serious ya kukagua magari ila wasipewe polisi hiyo iwe agency inayojitegemea hata garage private zikiwa na qualification ziruhusiwe kufanya hiyo kazi la tutaisha.

Kama nchi tumekwama sehemu.

Baada ya tamko la Raisi niliona watu wakipishana sasa hata mwezi bado hawaonekani wale waliokuwa wakijiviringisha chini ya mabasi.

Hatuna consistence kama nchi . Na ijulikane magari mabovu si mabasi tu ni gari zote .
kwani aijiipii yeye anasemaje? bado hajapangua tena safu tu? yaani jamaa alivyo kiazi anahangaikaga na wakuu wenzake tu ila hawa wanaocheza vikoba vya laki kila uchao anaendelea kuwajaza barabarani zamani kuliuwa hakuna utitiri wa polisi barabarani lakini ajali zilikua nadra sana ila kwa sasa Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.
 
Back
Top Bottom