johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa Maliasili na Utalii Dr Damas Ndumbaro ametoa kauli ya serikali kuhusiana na mgogoro wa Ngorongoro. Dr Ndumbaro amesema ardhi ni mali ya Umma wa watanzania siyo mali ya kabila fulani na katiba ya JMT imempa Rais madaraka ya kuisimamia, kuiendeleza na kulipa fidia panapohitajika.
Ndumbaro amesema kwa sasa mkuu wa mkoa wa Arusha yuko kwenye majadiliano na mailagwanani wa kabila la Wamasai na akikamilisha ndipo tume ya serikali itakwenda na kuandaa ripoti ambayo itakabidhiwa bungeni.
Chanzo: ITV
Ndumbaro amesema kwa sasa mkuu wa mkoa wa Arusha yuko kwenye majadiliano na mailagwanani wa kabila la Wamasai na akikamilisha ndipo tume ya serikali itakwenda na kuandaa ripoti ambayo itakabidhiwa bungeni.
Chanzo: ITV