Serikali atafute ufumbuzi wa foleni ya Temeke

Serikali atafute ufumbuzi wa foleni ya Temeke

Iwensanto

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
1,228
Reaction score
1,157
Kwa wakazi wa Temeke na maeneo yanayozunguka kumekuwa na shida ya usafiri kwa takribani mwezi sasa.

Ndugu wana jamvi kwa wale wanaoishi wilaya ya Temeke kumekuwa na shida kubwa ya foleni ya magari.

Kwa sasa kukaa barabarani kwa muda wa masaa 3 mpaka 4 ni kitu cha kawaida kabisa.

Tunaomba viongozi wa serikali walichukulie umhimu mkubwa jambo hili wakati wa mchana daladala zote za Temeke zinapita Tazara na kuenda kuingilia barabara ya mchicha.

Na kwa mara ya kwanza jana nimeshuhudia Barabara Barabara hiyo ikiwa na foleni kuanzia daraja la Mfugale.
 
Hii imekua kero kubwa sana sana,kwa sisi ambao tunatumia hiyo barabara ya Tazara kwenda makazini, asubuhi imekua ni tatizo mpaka unajiuliza hili daraja la Mfugale lina maana gani kuwepo pale. Ushubwada tu.

Mi nadhani pale buguruni panatakiwa kufumuliwa papanuliwe iwekwe Roundabout kubwa ndo nahisi tatizo linaweza kupungua.
 
Kwa wakazi wa Temeke na maeneo yanayozunguka kumekuwa na shida ya usafiri kwa takribani mwezi sasa.

Ndugu wana jamvi kwa wale wanaoishi wilaya ya Temeke kumekuwa na shida kubwa ya foleni ya magari.

Kwa sasa kukaa barabarani kwa muda wa masaa 3 mpaka 4 ni kitu cha kawaida kabisa.

Tunaomba viongozi wa serikali walichukulie umhimu mkubwa jambo hili wakati wa mchana daladala zote za Temeke zinapita Tazara na kuenda kuingilia barabara ya mchicha.

Na kwa mara ya kwanza jana nimeshuhudia Barabara Barabara hiyo ikiwa na foleni kuanzia daraja la Mfugale.
Kilwa road ipo kwenye ujenzi. Nadhani ndio sababu, tena hivi karibuni mvua imesababisha barabara ikawa mbaya zaidi na kusababisha foleni kubwa.
 
Back
Top Bottom