Serikali Awamu ya Sita zuieni matukio ya utekaji wa wanaoikosoa Serikali, haileti picha nzuri

Kama umegundua utekaji kwa 2024 umeshika kasi baada ya mkuu wa mkoa mmoja wa kaskazini aliyekuwa kipindi cha Magu kuingia madarakani.Nimeanza kuamini yeye anaendelezq Yale na ameingizwa kimkakati .Kwa serikali hii wasipoangalia wanachafuliwa na wananchi.huku chini wanaelewa
 
CCM huwa hawafi ila wakosoaji tu.
 
Mi naamini Taifa la Tanzania 🇹🇿 ni Mungu tu anasaidia ila jitihada za kiongozi na viongozi sioni kama wapo taifa linajiendea tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…