Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Lina ukubwa gani ?? Tupate viwanja hapo.....Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!
Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
Ni eneo kubwa nadhani likafika hata kilomita za mraba 8Lina ukubwa gani ?? Tupate viwanja hapo.....
Sawa sawa ni kubwa hapo biwanja kibao vinatokea hapo.....wagawe vzr sehemu viwanda vidogo na makazi......Ni eneo kubwa nadhani likafika hata kilomita za mraba 8
Hamtaki hata kuwe na maeneo ya wazi ila mwafrika ni mtu ambaye anaakili fupi sana anajifikiria tu yeyeNi eneo kubwa nadhani likafika hata kilomita za mraba 8
Tanzania ardhi ni kubwa siyo mng'ang'anie hapo karibu na Dsm. Kwanini usiende kujenga kwenu? Hilo pori ndio mapafu ya hiyo miji. Hujui umuhimu wa misitu mpaka leo? We mshamba kwenu wapi.Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!
Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
Maeneo ya wazo yabaki mfano sahivi dsm hakuna maeneo ya wazi kwa ajili ya mwanachi wa kawaida kwenda kupumzika tukitoa kila eneo itakua nchi ya hovyo sanaHuwa najiuliza walio pita wangekuwa na tamaa za fisi kama hizi tungekuwa wapi.. ushauri wangu eneo la kibaha na eneo linalomilikiwa na chuo cha kilimo uyole mbeya yabaki hata miaka 100 mbele hivyo hivyo ndio wagawe maana kizazi hicho watakuwa na shida kuliko sisi
Nchi nzima iwe kama tandare kweli?????Maeneo ya wazo yabaki mfano sahivi dsm hakuna maeneo ya wazi kwa ajili ya mwanachi wa kawaida kwenda kupumzika tukitoa kila eneo itakua nchi ya hovyo sana
Ndo mleta uzi anavyotakaNchi nzima iwe kama tandare kweli?????
Nchi hii inaviongozi warafi sana ukiona panafuka moshi ujue pana moto. Siku wakianzisha hii hoja walala hoi wengi watawatetea wakitumaini kuwa watapewa wao kumbe watapewa vigogo. Nikuombe huu ujinga ukianzishwa tuu nitapinga na uniunge mkonoNdo mleta uzi anavyotaka
Hahahaha 😆🤣🤣🤣🤣 umeeleweka mkuuTanzania ardhi ni kubwa siyo mng'ang'anie hapo karibu na Dsm. Kwanini usiende kujenga kwenu? Hilo pori ndio mapafu ya hiyo miji. Hujui umuhimu wa misitu mpaka leo? We mshamba kwenu wapi.
Hivi shirika la elimu kibaha limefutwa?Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!
Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
Mnapenda miji isiyo na free zones kwa ajili ya ku absorb cabondioxed na ku produce Oxygen?Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!
Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
Ya mama ni mengi sana mkuu amesema iwe shule sijuiHivi shirika la elimu kibaha limefutwa?