Serikali: Bajeti ya sensa ni Tsh bilioni 629

Serikali: Bajeti ya sensa ni Tsh bilioni 629

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kiruuuuuuuuu, mtaani kwetu nyumba zilizohesabiwa hazifiki 8 na nyumba moja mtu anakaa masaa 5-6. This is a joke, hakuna aliyekuwa serious na hizi data labda baadhi ya maswali ambayo yatamsaidia mzee wa Singida Big Stars kuintroduce tozo mpya.

Huu ni upigaji mkubwa, kwa mwendo wa konokono unaofanyika tutarajie upikwaji mkubwa wa data kama unaofanyikaga kwenye the so called uchaguzi mkuu, takwimu za mfumuko wa bei na kila kitu.

Huu ni uhuni na roho mbaya na ufisadi wa hali ya juu, hapo bado billion 600 ya kununua magari ma Lexus 2022 models, bado zile ndege 5 zinazokuja kwa cash, eti haka ka nchi kananunua ndege cash wakati raia wana starve vibaya sana wanaminywa hadi utumbo, shame shame shame.

BAJETI.JPG
 
wapanue tu magereza yaani mama mwenye nyumba wa buza mama amina umuambie asilia zako kadhaa napeleka TRA? unatolewa muda huohuo na matarumbeta juu

Kuongea ni rahisi kuliko kutenda.
Mwenye nyumba hawezi kukubali 10% yake ya kodi umkate, lazima vyuma viumane.

Otherwise wenye nyumba lazima watapandisha kodi kuliko uhalisia ili hata ukikata 10% ya pango kwake hamna maumivu, chumba cha 40,000/-Tsh atakwambia ni 50,000/- Tsh, ukimkata 10% which is 5,000/- Tsh bado atabaki na 45,000/- Tsh, yeye yupo kwenye upande salama, shida inabaki kwako mpangaji.
 
Kuongea ni rahisi kuliko kutenda.
Mwenye nyumba hawezi kukubali 10% yake ya kodi umkate, lazima vyuma viumane...
Na huku ndiko tunakokwenda. Kama mpangaji hataki/hawezi, basi akatafute chumba mahali pengine.

Yaani ujenzi ulivyokua wa gharama kiasi hiki, halafu nitoe tu kirahisi 10% kugawana na serikali ambayo haijanichangia chochote kwenye ujenzi! Na bado kila mwezi nakatwa 1000 kwenye LUKU kama kodi ya jengo!
 
Unaambiwa na wenyewe kwamba baada ya vita activity nyingine inayotumia pesa nyingi sana kwa mda mfupi huwa ni sensa..so relax..

Hayo ya sijui wapi bado nk kila kaya itafikiwa na wasiofikiwa kuna namba zimewekwa Ili waje kuhesabiwa.
zile ndege 5 zilizonunuliwa cash zinatinga lini? nchi inapata heshima sana kununua ndege kwa cash inaonyesha uimara wa serikali naona na models za 2022 ziko kitaa sasa lazima wanuka jasho waumie ili ziwekwe mafuta full kiyoyozi

tozovx.jpg
 
Hii sensa ilipaswa kufanywa na kada ya walimu nafikiri ingefanyika kwa ufanisi zaidi, nilivyiwaangalia hawa makarani ni kama walikuwa wanafanya bora liende
zamani kwenye makaratasi ilikuwa inafanywa kuanzia ngazi ya nyumba kumi wanaojua vyema watu wao na ilikuwa efficient kwa siku inaisha , nakuhakikishia kwa nilichokiona hapa mtaani kwetu asilimia 60 wanaenda kupika data kama zile za tume ya uchafuzi
 
Hii sensa ilipaswa kufanywa na kada ya walimu nafikiri ingefanyika kwa ufanisi zaidi, nilivyiwaangalia hawa makarani ni kama walikuwa wanafanya bora liende
Utawapandisha vijana hasira! Wana hasira sana na walimu. Maana kwa akili zao wanahisi hao walimu ndiyo chanzo cha wao kuwa jobless mitaani. Na wala siyo serikali yao sikivu.
 
Mm sio Mbarawa au Mkuu wa wakala wa ndege za serikali
kwa mara ya kwanza leo umekosa jibu la kutetea awamu ya sita anyway hongereni kwa kushusha ma lexus 2022 models, najua mwakani tena 2023 vyuma vingine vitaanguka modelya mwaka huo, lazima viongozi watunzwe vizuri sababu wanafanya kazi kubwa san aya kuhudumia wanuka jasho
 
kwa mara ya kwanza leo umekosa jibu la kutetea awamu ya sita anyway hongereni kwa kushusha ma lexus 2022 models, najua mwakani tena 2023 vyuma vingine vitaanguka modelya mwaka huo, lazima viongozi watunzwe vizuri sababu wanafanya kazi kubwa san aya kuhudumia wanuka jasho
Siteteagi ujinga mimi ila ukiona natetea ujue kuna logic,sensa ina logic mambo ya ndege huwa sio Kati ya mambo nayoyakubali maana naona ni wastage ya resources iliyoanzisha na Mwendazake.
 
Back
Top Bottom