Serikali: Bajeti ya sensa ni Tsh bilioni 629

Utawapandisha vijana hasira! Wana hasira sana na walimu. Maana kwa akili zao wanahisi hao walimu ndiyo chanzo cha wao kuwa jobless mitaani. Na wala siyo serikali yao sikivu.
Sasa hii ni hatari sana, Kama walipata elimu Ili iwasaidie kufikirisha bongo zao na imekuwa kinyume chake basi tutarajie kuwa na Taifa la Vijana wa hovyo sana huko mbeleni.
 
Eneo ninalo kaa lina kaya zaidibya 400 makarani wapo wawili (2) jana nimemhoji mmoja kanimbia kwa siku anafanya kaya 12-15 tena imebidi apunguze maswali.

Hivyo hata iweje hawezi maliza eneo lote.
Daaah makaran wanapika data
Yaan ukishindwa kujibu swali anasema haina shida hiyo najua namna ya kujaza

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Siteteagi ujinga mimi ila ukiona natetea ujue kuna logic,sensa ina logic mambo ya ndege huwa sio Kati ya mambo nayoyakubali maana naona ni wastage ya resources iliyoanzisha na Mwendazake.
Duh bado lawama zinaenda kwa Mwendazake tu?
 
Katika kodi anayeumia ni yule mtumiaji wa mwisho, hvyo bas mwenye nyumba hawez umia mana atapandisha kodi. Wapangaji shuhuli tunayo mana hata dukan kitu kikipanda bei nae mangi anapandisha 🙆🙆🙆
 
Kikubwa serekali ishavuta chake
 
Ndogo sana, ndo maana makalani wanafanya kazi kinyonge
 
Na hii ndio nzuri. Napenda raia wateseke ili maumivu yawafikie wale majinga yanayovaa kofia na fulana za kampeni za kupewa.

Maana kuongea hatusikilizani ila vitendo tutaelewana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi wangenunua trekta ngapi, wangejenga schemes ngapi za umwagailiaji
 
Ndogo sana wangetenga angalau trillion 1.2 hivi ingependeza
Kazi ingefanyika kiufanisi zaidi

Ova
 
Hii sensa ilipaswa kufanywa na kada ya walimu nafikiri ingefanyika kwa ufanisi zaidi, nilivyiwaangalia hawa makarani ni kama walikuwa wanafanya bora liende
Wengi wamezubaa zubaa yani watu wanafanya ilimradi siku ziishe wawe wameingiza walichoingiza basi. Hamna mtu mwenye morale katika wote niliokuwa nakutana nao tena bora wangeifanya wanaume tu. Wanawake ni mdebwedo vibaya sana.
 
Hii sensa ilipaswa kufanywa na kada ya walimu nafikiri ingefanyika kwa ufanisi zaidi, nilivyiwaangalia hawa makarani ni kama walikuwa wanafanya bora liende
Wengi wamezubaa zubaa yani watu wanafanya ilimradi siku ziishe wawe wameingiza walichoingiza basi. Hamna mtu mwenye morale katika wote niliokuwa nakutana nao tena bora wangeifanya wanaume tu. Wanawake ni mdebwedo vibaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…